Mwanzo ilikua ukimaliza mkataba wako secta binafsi unaruhusiwa kuchukua mafao yako yote. Lakini sasa upo utaratibu ambao nashindwa kujua kwa nini umeletwa. Mimi nilifanikiwa kuweka michango yangu kwa miaka kadhaa nssf wakati nafanya kazi secta binafsi. Baada ya kupata ajira ya serikali nilikua...
Serikali iruhusu watu waliofanya kazi private kuchukua mafao yao badala ya kusubiri miaka 60 ya kustaafu kwan mikataba ya private ni ya mda mfuli mf. Mwaka mmoja, miwili au mitano.
Mtu aruhusiwe kuchukua hela zake kama ilivokua wakati wa Kikwete. Watu wapewe stahiki zao hata kama mtu...
Sababu kubwa ni status. Kutokana na kipaji cha uimbaji wanapata umaarufu kuwazidi waume zao. Mwanamke akishamzidi mwanaume katika nyanja flani anakosa kumheshimu mumewe kama kichwa cha familia. Kwa ivo hawezi kuishi na mwanaume aliemzidi. Ili mwanaume awe kichwa cha familia inabid umzidi...
Sidhani kama mashoga watakuepo kama hakuna mwanaume wa kuwasumbukia. Kiukweli tatizo hili linakua kutokana na maadili mabovu lkn naona linaanzia mbali. Watu wanasapoti pasipo kujua. Na hata serikali inachangia. Sasa ivi imekua kawaida sana watu wanjinasibu wazi wazi wanaenda kwa mpalange na...
Wanajibu wanavotaka kwa kua mama anawachekea of course ni mfumo wa ccm. Kwa asilimia kubwa viongozi wa ccm wanaona hayupo wa kuwababaisha lkn ipo siku watajua nguvu ya watu wakichoka
Hii ishu ya bandari inatumika nguvu kuaminisha kama tutapata faida lkn kwa nn hawataki kuongelea na kufafanua vipengele vyenye utata kwenye mkataba. Dah katika tumepigwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.