Recent content by MICSIMON

  1. MICSIMON

    Nchi zinazoidai Tanzania

    Angola inaidai Tanzania kiasi Cha Trillion 12.5 Kwa mnaofahamu mnisaidie hapa. Tulikopanini kwa Angola wataalam?
  2. MICSIMON

    Tanzania kwanini tuko kimya kwa Yussuf Poulsen?

    Sijui Kama unafuatilia mambo
  3. MICSIMON

    Tanzania kwanini tuko kimya kwa Yussuf Poulsen?

    Bila kucheza Chandimu?[emoji23][emoji23][emoji1201]
  4. MICSIMON

    Tanzania kwanini tuko kimya kwa Yussuf Poulsen?

    Duuuu Kuna sehemu kwenye mirija yetu ya ubongo Kuna shida
  5. MICSIMON

    Tanzania kwanini tuko kimya kwa Yussuf Poulsen?

    Wazee wa michezo, huyu mwamba tunaanza kumdiscuss lini? Mdigo anaewakilisha taifa la mama yake. Damu yetu hii mbona hatuipi air time kwenye vyombo vyetu vya habari?
  6. MICSIMON

    GE2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

    Una uhakika na unachosema
  7. MICSIMON

    Nani mmiliki wa Dizzim Tv na Radio

    Sana niko vze
  8. MICSIMON

    Nani mmiliki wa dizzm tv na radio?

    Hahaaaa kiba100 mbona wanatembea sana na wcb mpaka Kenya kwenye abft
  9. MICSIMON

    Nani mmiliki wa Dizzim Tv na Radio

    miaka si tatizo au naibu rais ?
  10. MICSIMON

    Nani mmiliki wa Dizzim Tv na Radio

    NANI mwana mfalme
  11. MICSIMON

    Nani mmiliki wa Dizzim Tv na Radio

    Mwana wa mfalme Nan huyo
  12. MICSIMON

    Nani mmiliki wa dizzm tv na radio?

    Wakuu mambo vipi Swali:nani mmiliki wa dizzim media?
Back
Top Bottom