Recent content by Microsopist

  1. M

    Sperm Analysis Report: Madaktari naombeni view yenu.

    Maana naelewa kuna njia kama tatu zinaweza kutumika kwenye collection ya sperm japo na hyo ya punyeto ipo lakini siyo best sana, na pia muda ulio kaa hadi kufikia kutoa ni muda gani, hii inaweza kufanya volume ikawa ndogo ama kubwa
  2. M

    Sperm Analysis Report: Madaktari naombeni view yenu.

    Mkuu kabla hujafanya hyo sperm ulikaa kwa muda gani ndo ukatoa hizo mbegu, na ulitumia njia gani wakati unazikusanya pia
  3. M

    Rais wa Burundi azindua kampeni ya kubadilisha Katiba

    Muda wake nae unakuja akamuulize mugabe, kuna wakati watu huwa uvumilivu unaisha pia
  4. M

    TAKUKURU yautupilia mbali ushahidi ulioletwa na Nassari na Lema wa madiwani kuhongwa

    Hawa ni kama huwa wanadhani kila mtu ni mjinga sana, ndo maana wakati mwingine wananchi huwa hawatoi taarifa za rushwa kwenye hii taasisi
  5. M

    Mshaurini mwanamke huyu, nitampelekea ushauri wenu.

    Hata akisamehewa baada ya muda atarudia tena inaone ni kama tabia yake, inaweza kuwa imetokana na sababu ama tamaa ama maisha magumu, ama ndo tabia yake
  6. M

    Ushauri: Nimekuta meseji za mapenzi kwenye simu ya mpenzi

    Kuchapiwa ni siri ya ndani, ila sidhani kama ataacha mara nyingi huwa wanatumia kilio kama kujutia makosa ila moyoni huwa ni tofauti mkuu
  7. M

    Msaada: Pesa yangu inapotea bila kujua inaenda wapi!

    Mshana njoo huku utoe ufafanuzi, mkuu kwani huwa inapoteje ama una matumizi mengine ya ziada
  8. M

    IMF: Kuna viashiria uchumi wa Tanzania unaendelea kushuka

    Mimi naona uchumi unakua tu kwenye makaratasi ila hali ya huku mtaani ni mbaya sana
  9. M

    Nini madhara ya kubakwa...!?

    Ebu eleza vizur kwnza, kubakwa ama kuna kingine unamanisha maana sielewi
  10. M

    Siku tatu kutoa mahari nakutana na meseji anaomba pesa kwingine

    Fanya uchunguzi kwanza ili ujue huyo my wake ni nan mkuu, maana anaweza kuwa ni binamu yake
  11. M

    Wanafunzi 20 pekee ndio wanaojua kusoma kati ya wanafunzi 164

    Jitihada za ziada zinahitajika sana, kwa wanafunzi , wazazi na walimu pia
Back
Top Bottom