Maana naelewa kuna njia kama tatu zinaweza kutumika kwenye collection ya sperm japo na hyo ya punyeto ipo lakini siyo best sana, na pia muda ulio kaa hadi kufikia kutoa ni muda gani, hii inaweza kufanya volume ikawa ndogo ama kubwa
Hata akisamehewa baada ya muda atarudia tena inaone ni kama tabia yake, inaweza kuwa imetokana na sababu ama tamaa ama maisha magumu, ama ndo tabia yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.