Recent content by micksawe

  1. micksawe

    Katiba mpya

    Katika kataba mpya ya Tanzania, Watanzania tuingize kifuatacho. Mtuanapiga kura endapo amri wa miaka 18 au zaidi. Basi kuwe na umri wa mwisho wa kupiga kura. Kama ilivyo kuwa mtumishi wa uma anavyo staafu miaka 60
  2. micksawe

    Kunguruma kwa maeneo ya kifuan ad kwnye ktov

    Mpeleke hsp. anatatizo la kifua.
  3. micksawe

    Mkapa: Wapinzani ni wajinga na hawana adabu

    Hayo c matusi ni tambo za siasa tu.
  4. micksawe

    Arumeru sio Korea, baba afariki mtoto arithi jimbo

    Hawana pesa ila mnazidiwa sera tu. Mbona mnatafuta sababu mapema?
  5. micksawe

    PICHA: Mapokezi ya Prof Lipumba; Afande sele atumbuiza

    Vyama vingi vya siasa, vina ujanja wa kuteka watu uwanjani na kuona kuwa wana watu wengi. Hawajui sio kila akupigiae makofi ana kushangilia, Ingekuwa hivyo umati huo ccm isingeshi. Utaona uchaguzi wa Arusha.
  6. micksawe

    Mbowe na Zitto...

    Naona anamwandikia mgombea wa ccm
  7. micksawe

    maandamano

    Naona kuna haja ya vyama vya siasa hasa chadema na nccr wakae pamoja na kuona swala la KATIBA simchezo. Ni la nchi nzima na ni kwa manufaa nchi. Maandamano na uvunjivu wa AMANI hayana nafasi jinsi unyeti wa katiba ulivyo. Watuachie sisi wananchi tutoe maoni yetu.
Back
Top Bottom