Arumeru sio Korea, baba afariki mtoto arithi jimbo

Imany John

JF-Expert Member
Jul 30, 2011
2,930
1,165
Ningependa kutumia haki yangu ya kikatiba kuwashauri wana arumeru wachague mgombea sahihi,hatutaki jimbo lenu liwe korea,eti baba afariki na mtoto arithi?

Tulianza na mungu,tutamaliza na mungu!
Aluta kontinyua!
 
Pamoja daima..chadema.tanzania leading political party,upo sahihi.NASKIA KULE BUNDA MTOTO WA BW usingizi anapiga jaramba naye agombee 2015.
 
Ningependa kutumia haki yangu ya kikatiba kuwashauri wana arumeru wachague mgombea sahihi,hatutaki jimbo lenu liwe korea,eti baba afariki na mtoto arithi?

Tulianza na mungu,tutamaliza na mungu!
Aluta kontinyua!

Huyu mgombea wa CCM atajuta kumsikiliza baba mkwe wake aliyemshauri kujaribu kuvaa viatu hivi.
Tulianza na Mungu, tutamaliza na mungu.
 
Marehemu baba Sioyi sijui Naoa siyule Zitto alisema bungeni anajibu majibu ya hovyohovyo wanaleta utawala wa kifalme Arumeru sio Uk au Uarabuni hawa watajuta kuweka pandikizi lao, wanaanza kuota kama mgomba ule uliozaa mkungu ukishakatwa maotea ya pembeni nayo yanaachiwa kutawala eneo lenye rutuba mpaka yatakapo toa mkungu wandizi na kukatwa ndio mbinu za maccm za siku hizi za kuweka watoto kututawala hii haikubaliki tumeshashtuka nikuwapiga chini tu.
 
Marehemu baba Sioyi sijui Naoa siyule Zitto alisema bungeni anajibu majibu ya hovyohovyo wanaleta utawala wa kifalme Arumeru sio Uk au Uarabuni hawa watajuta kuweka pandikizi lao, wanaanza kuota kama mgomba ule uliozaa mkungu ukishakatwa maotea ya pembeni nayo yanaachiwa kutawala eneo lenye rutuba mpaka yatakapo toa mkungu wandizi na kukatwa ndio mbinu za maccm za siku hizi za kuweka watoto kututawala hii haikubaliki tumeshashtuka nikuwapiga chini tu.

Nadhani ushauri umechukuliwa,na wataufanyia kazi
 
mungu ni moja tu rafiki hayo mengine no mbwembwe tu!sawa na anaetaka kwenda dar p,upite singida,nairobi,upite arusha lkn mws wa siku nikufika dar!
 
CDM ni furaha kwetu coz ni sawa na kupita bila kupingwa,HAKI YA MTU HAIPOTEI IT IS JUST A MATTER OF TIME......dogo anza kutembea kama MP coz there is no way mkenya atawala Arumeru na Arumeru si Korea au Botswana....
 
Mbowe alirithi wenyekiti wa chadema kutoka kwa mwanzilishi na baba mkwe wake Edwin Mtei, Mama Rose Kamili mke wa DR Slaa wa zamani ni mbunge viti maalum chadema pamoja na Lucy owenya ni mtoto wa ndesamburo. Ni mambo ya kawaida kwenye siasa kama wanakidhi vigezo na sifa

kumbuka pia kwamba John Mnyika ana undugu wa karibu na Mbowe, Zitto kabwe na mama yake mzazi na Tundu Lissu na christina Lisu mbunge wa viti maalum chadema ni dada yake na Tundu Lissu.
 
Ndio,wao wana pesa walizo waibia wavuja jasho wa tanzania sisi tuna mungu asie shindwa na lelote.waliba kura 2010,tukasema atuendi maakamani tuna mkabizi mungu,mwenyezi mungu aka sikia sala zetu.
 
Evidence!!!
Unataka kuhalalisha kuwa mgombe wa CCM hana utata??? laki ni mbona baba yake hakutoga masikio??? au sio baba yake??
 
Back
Top Bottom