Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Ningependa kutumia haki yangu ya kikatiba kuwashauri wana arumeru wachague mgombea sahihi,hatutaki jimbo lenu liwe korea,eti baba afariki na mtoto arithi?
Tulianza na mungu,tutamaliza na mungu!
Aluta kontinyua!
Tulianza na mungu,tutamaliza na mungu!
Aluta kontinyua!