Rais Magufuli, ingilia kati sakata la Coco beach

nyanile

Senior Member
Jan 8, 2015
102
30
Pamoja na tamko lako Mhe Rais JPM, Rais wa Wanyonge kwamba Mwekezaji mzawa wa Coco Beach asinyanyaswe lakini bado ameendelea kuzungushwa na manispaa ya Kinondoni imefika sehemu wanampa mkataba kisha wanaenda kuukana mahakamani,wanampa mkataba tena wao wenyewe wanasema hawautambui.

Nakuomba Rais ingilia kati hili jambo ili huyu mnyonge apate haki kwa wakati. Pia serikali ianze kupata kodi yake kwa kumpa mkataba mara moja kuliko huu ubabaishaji wanaoufanya hapa manispaa ya Kinondoni.
 
Pamoja na tamko lako mh rais JPM,rais wa Wanyonge kwamba Mwekezaji mzawa wa Coco Beach asinyanyaswe lakini bado ameendelea kuzungushwa na manispaa ya Kinondoni imefika sehemu wanampa mkataba kisha wanaenda kuukana mahakamani,wanampa mkataba tena wao wenyewe wanasema hawautambui.
Nakuomba mh rais ingilia kati hili jambo ili huyu mnyonge apate haki kwa wakati.
Pia serikali ianze kupata kodi yake kwa kumpa mkataba mara moja kuliko huu ubabaishaji wanaoufanya hapa manispaa ya Kinondoni.
huyu rais akifanya haya yote huo moyo si utachoka na kusinzia
 
hahaha Manji amezaliwa na kuishi bongo miaka yote ila hakuwahi KUKARIBISHWA Bongo, Dar Si Salama... sasa wadau ndo wameamua kumkaribisha rasmi... karibu dar si salama a.k.a mzizima
 
Duuh sasa kila kitu rais ndio afanye? Mbona fitina zimezidi ......huyo Mkurugenzi wa Kinondoni anafanya nin? Yaan mpaka mkuu wake wa kaz aingilie?? Aisee kaz ipo na tunayo kweli watz
 
hahaha Manji amezaliwa na kuishi bongo miaka yote ila hakuwahi KUKARIBISHWA Bongo, Dar Si Salama... sasa wadau ndo wameamua kumkaribisha rasmi... karibu dar si salama a.k.a mzizima
Kwani jamaa bado ana nguvu ya kununua watu tu serikalini?
 
Pamoja na tamko lako mh rais JPM,rais wa Wanyonge kwamba Mwekezaji mzawa wa Coco Beach asinyanyaswe lakini bado ameendelea kuzungushwa na manispaa ya Kinondoni imefika sehemu wanampa mkataba kisha wanaenda kuukana mahakamani,wanampa mkataba tena wao wenyewe wanasema hawautambui.
Nakuomba mh rais ingilia kati hili jambo ili huyu mnyonge apate haki kwa wakati.
Pia serikali ianze kupata kodi yake kwa kumpa mkataba mara moja kuliko huu ubabaishaji wanaoufanya hapa manispaa ya Kinondoni.
Mnyonge Manji?
 
Meya Alisolve hiki kitu credit akachukua mwingine, na mbuzi wote wa uswahilini hawakujua kama ile battle ilianzia mbali, wakamwamini aliyechukua credit, leo tena analiliwa raisi kwa kua meya hakutajwa kwenye tukio zima. Hata mleta uzi kavuka ngazi nyingi mpaka kamfuata raisi.
 
Meya Alisolve hiki kitu credit akachukua mwingine na mbuzi wote wa uswahilini hawakujua kama ile battle ilianzia mbali, leo tena analiliwa raisi kwa kua meya hakutajwa kwenye tukio zima. Hata mleta uzi kavuka ngazi nyingi mpaka kamfuata raisi.
Meya alitatua kwa maazimio yapi?
 
Duuh sasa kila kitu rais ndio afanye? Mbona fitina zimezidi ......huyo Mkurugenzi wa Kinondoni anafanya nin? Yaan mpaka mkuu wake wa kaz aingilie?? Aisee kaz ipo na tunayo kweli watz
Rushwa ni adui wa haki, atakuwa anapokea rushwa pengine,ngoja mwenye mamlaka nae amsaidie kazi aliyompa afanye
 
huyu rais akifanya haya yote huo moyo si utachoka na kusinzia
Unaongea nini wewe Raisi amesema kila kitu lazima aulizwe yeye... Sasa wewe kwako ni shida akipewa maagizo na wana nchi? Au unafikiri Kazi yake ni kuvaa suti tu? Anywaw pale coco ni pa ovyo sana bidhaa bei juu risiti hamna so majizi tu nilienda kununua clips naambiwa huku Jero wakati before kabla ya blah blah ilikuwa buku nimenunua sana ila kwa sasa basi na paki ni pesa tena bora waende hao hao Wa Manzese wenye uwezo
 
Pamoja na tamko lako mh rais JPM,rais wa Wanyonge kwamba Mwekezaji mzawa wa Coco Beach asinyanyaswe lakini bado ameendelea kuzungushwa na manispaa ya Kinondoni imefika sehemu wanampa mkataba kisha wanaenda kuukana mahakamani,wanampa mkataba tena wao wenyewe wanasema hawautambui.
Nakuomba mh rais ingilia kati hili jambo ili huyu mnyonge apate haki kwa wakati.
Pia serikali ianze kupata kodi yake kwa kumpa mkataba mara moja kuliko huu ubabaishaji wanaoufanya hapa manispaa ya Kinondoni.
Duu
 
Hii ishu nakumbuka prezidaa alishaisovu kwa kuamuru kuwa cocobeach isibinafsishwe, akasema kuwa lile ni eneo pekee la walalahoi kujiburudisha, kwa hiyo akazuia kuuzwa.
Namshukuru sana Prezidaa kwa uamuzi ule wa kizalendo, leo hii wananchi wa kipato cha chini wangekwenda ufukwe upi kuburudika?
 
Manji alishakataliwa iweje tena limezuka mnapima upepo?!!!Magufuli tumbua hao wahusika.
Aisee watumbuliwe tu hawa maana hawaeleweki wanasabisha serikali inakosa mapato bure kwa uzembe wa watu wa wawili ndani ya manispaa
 
Huyu mleta hoja hana kumbukumbu na au hajui lolote kuhusu mikataba feki ya eneo husika. Mwekezaji alipigwa chini na mahakama katika kesi ya msingi. Na kikao cha madiwani kiliazimia kuwa manispaa ijenge na kuendesha biashara either kwa ubia au vinginevyo lakini siyo kumpa mwekezaji moja kwa moja.
Hivyo, mipango na mikakati ya manispaa iko kama ilivyokubaliwa na kikao husika na tayari wameshaandaa michoro ya jinsi eneo hill litakavyoonekana.
Na huenda bajeti ya mwaka ujao wa fedha wakapatiwa mafungu kwa ajili ya ujenzi.
Acheni kutumika na kumsumbua mheshimiwa kwa kutafuta sifa za kijinga. Huyo manji wenu mwambieni akajenge viwanda na siyo kuchukua maeneo ya umma kwa tamaa zake. Na arudishe gogo hotel ya uwt.
 
Back
Top Bottom