Recent content by mick2015

  1. M

    ACT-Wazalendo mnapata wapi pesa za kuendesha chama?

    kwani CHADEMA hela ya kurusha helcopter nchi nzima wakati wa kampeni walizitoa wapi? CHUKI TUU.
  2. M

    Mkutano wa John Mnyika Musoma mjini Leo!

    CHADEMA mmetukana mmedharaulika kwa kuhamasisha maandamano hamna sera? aina ya siasa yenu ni siasa ya ukombozi je mnakomboa nini??? sera safi hukifikisha chama madarakani je! wao wanasubiri lini?
  3. M

    Mkutano wa John Mnyika Musoma mjini Leo!

    mhh! ACT watawagonganisha sana vichwa sana nyie people.
  4. M

    ITV na Azam Tv kurusha LIVE uzinduzi wa ACT-Wazalendo

    Zitto anazijua pressure point CDM sasa akianza kupanda majukwaani nahisi watalazimika kumfuata na kumjibu kama walivyoanza.
  5. M

    Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

    ukiangalia haraka haraka utauona upendo, lakini kwa kina kuna kachokochoko ka udini na kwa wazi kuwa Slaa ana bif na Pengo ambaye amewahi kuwa bosi wake wa kiroho.
Back
Top Bottom