CHADEMA mmetukana mmedharaulika kwa kuhamasisha maandamano hamna sera? aina ya siasa yenu ni siasa ya ukombozi je mnakomboa nini??? sera safi hukifikisha chama madarakani je! wao wanasubiri lini?
ukiangalia haraka haraka utauona upendo, lakini kwa kina kuna kachokochoko ka udini na kwa wazi kuwa Slaa ana bif na Pengo ambaye amewahi kuwa bosi wake wa kiroho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.