Recent content by micind

  1. micind

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Aisee pole sana mkuu dah nimeumia hapo mzee alipokua anaenda kila siku kutafuta mwili wa binti yake jamani🥲🥲, poleni sana familia.
  2. micind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanawake mkoje?

    Aibuuuu
  3. micind

    JamiiForums Tanzania Ila sisi wanaume 😂😂, hakuna kitu mwanamke ataacha kupata kutoka kwa mwanaume

    Kaumia mguu tu vingine vyote vizima
  4. micind

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jeshi la Polisi Arusha limchukulie hatua Askari huyu aliyempora Mwandishi kamera akiwa kazini

    Rekebisha tarehe mkuu Sept 9 2025 bado hatujafika.
  5. micind

    JamiiForums Tanzania Dear future husband ukiniabisha siku ya ndoa yetu kama hivi, sitaweza kukuvumilia

    Sasa si anafurahia kupata mke jamani,kashindwa kuficha furaha yake.
  6. micind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi niue: Yule Jennifer aliyekula nauli ya Emmanuel, ahukumiwa Miaka 7 Jela

    Hivi hii ni kweli?? 😃😃
  7. micind

    JamiiForums Tanzania Mchungaji amchumbia mjane kwenye mazishi ya mumewe

    Ila we dada😆😆
  8. micind

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    watumishi mchukue huu ushauri mkopo usizidi miaka miwili unakua nyonya damu, mtu anachukua milioni kumi kwa miaka kumi seriously? halafu hela unaenda kujengea hapo katikati utaishije? ndani ya miaka miwili unapata shida nyingine unaenda ku top up deni lina shoot mpaka mil 30 kasoro halafu...
  9. micind

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    hao ndama ametolea mfano tu unaweza kufanya biashara nyingine ambayo wewe unaona utaweza kuimudu.
  10. micind

    JamiiForums Tanzania Lodge zenye masharti kama haya zinapatikana wapi wakuu?

    inaitwaje mkuu?? nipo masasi nataka nikashuhudie.
  11. micind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepewa mechi nikashindwa kusimamisha

    Dk 40, mkuu?? Unaandaa nini? Wengine ulimi ukipita shingoni tu basi kazi imeisha.
  12. micind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ratiba ya waajiriwa(wanawake) inawapa nafasi ya kutimiza majukumu yao ya ndoa? Je ratiba ipangiliwe vipi ili majukumu ya ndoa yatimizwe?

    Tuoeni majobless na std 7 jamani mtakua mnakuta maji ya hiliki bafuni na tunawaogesha kabisa kazi yenu kutuletea vya kupika tu.
  13. micind

    JamiiForums Tanzania Zanzibar kuna wazungu wengi mno, nipeni mbinu za kupata jimama a.k.a lishangazi la kizungu

    Sio six part mkuu ni six pack, nimeona nikuambie usijekuliambia hivyo jimama lako la kizungu. Kila la heri
  14. micind

    JamiiForums Tanzania Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

    wueeh was "kutawanywa" necessary mkuu :D:D
Back
Top Bottom