Recent content by micind

  1. micind

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    amshapopo hongera sana mzee wa kuthubutu liwalo na liwe.
  2. micind

    JamiiForums Tanzania Wachaga zindukeni, VICOBA vya kuzikana ni Umaskini!

    🤣🤣🤣
  3. micind

    JamiiForums Tanzania Leo kuna mbaba kadhalilika. Kifupi sio mkopaji yeye, alijichanganya

    Mkuu sio kweli kabisa nimewahi kufanya kazi taasisi ya mikopo ingawa tulikua tunakopesha watumishi tu lakini kwenye suala la hela usimuamini ndugu yako hata kidogo hasa masuala ya udhamini wa mikopo utaachiwa huo mkopo utaulipa na hautaamini. Mimi nilikua naamini zaidi watu wanaokuja ofisini na...
  4. micind

    JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Kwahiyo kuona hivyo vitu kwa binti mmoja ndo umejumuisha wote mkuu?
  5. micind

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Aisee pole sana mkuu dah nimeumia hapo mzee alipokua anaenda kila siku kutafuta mwili wa binti yake jamani🥲🥲, poleni sana familia.
  6. micind

    JamiiForums Tanzania Hivi wanawake mkoje?

    Aibuuuu
  7. micind

    JamiiForums Tanzania Ila sisi wanaume 😂😂, hakuna kitu mwanamke ataacha kupata kutoka kwa mwanaume

    Kaumia mguu tu vingine vyote vizima
  8. micind

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jeshi la Polisi Arusha limchukulie hatua Askari huyu aliyempora Mwandishi kamera akiwa kazini

    Rekebisha tarehe mkuu Sept 9 2025 bado hatujafika.
  9. micind

    JamiiForums Tanzania Dear future husband ukiniabisha siku ya ndoa yetu kama hivi, sitaweza kukuvumilia

    Sasa si anafurahia kupata mke jamani,kashindwa kuficha furaha yake.
  10. micind

    JamiiForums Tanzania Mapenzi niue: Yule Jennifer aliyekula nauli ya Emmanuel, ahukumiwa Miaka 7 Jela

    Hivi hii ni kweli?? 😃😃
  11. micind

    JamiiForums Tanzania Mchungaji amchumbia mjane kwenye mazishi ya mumewe

    Ila we dada😆😆
  12. micind

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    watumishi mchukue huu ushauri mkopo usizidi miaka miwili unakua nyonya damu, mtu anachukua milioni kumi kwa miaka kumi seriously? halafu hela unaenda kujengea hapo katikati utaishije? ndani ya miaka miwili unapata shida nyingine unaenda ku top up deni lina shoot mpaka mil 30 kasoro halafu...
  13. micind

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    hao ndama ametolea mfano tu unaweza kufanya biashara nyingine ambayo wewe unaona utaweza kuimudu.
  14. micind

    JamiiForums Tanzania Lodge zenye masharti kama haya zinapatikana wapi wakuu?

    inaitwaje mkuu?? nipo masasi nataka nikashuhudie.
Back
Top Bottom