Recent content by michibo

  1. michibo

    Naombe location viwanja vya Tabora vya kula bata

    Ulizia mitaa ya Kanyenye kuna kiwanja jirani na Chungu cha Bibi, kinaitwa the Terrace sijui..... maeneo hayo hayo kuna viwanja vingi tu.
  2. michibo

    Maneno bila sauti kutoka kwa dadaz

    Huo msisitizo hapo mwishoni unatia shaka.
  3. michibo

    TANZIA Mchekeshaji Pembe afariki dunia

    RIP Pembe.
  4. michibo

    Top 5 viongozi bora Afrika 2024

    Umesema vema, maoni yako.
  5. michibo

    Simba kufungwa mara nne mfululizo siyo dili kama tunavyoaminishwa

    Badala ya kujirekebisha mnajitahidi kujitetea, mtaendelea kuuchezea tu.
  6. michibo

    Rafiki yangu kashikwa uchawi nikimuliza ananijibu ni Imani ya kazi

    Yeye ndo anapaswa ajitenge na wewe ili awe na washirika wenzie kwenye kazi.
  7. michibo

    Kwa yanayomkuta Gachagua ingekuwa ni Tanzania hata Shujaa Magufuli angeonekana ni Mkabila badala ya Mcheza Kwao Hutunzwa!

    Ukiwa na akili timamu huwezi kujilinganisha na Kenya kwenye siasa.
  8. michibo

    EX wa Dkt. Mwaka azidi kuwaacha watu midomo wazi

    Mentally challenged mshangazi.
  9. michibo

    Msiotumia pombe kuna kitu mna-miss muwapo faragha na wenzi wenu

    Pale unapodhani ukipendacho wewe ndo standard kuwa wengine walipaswa kukipenda!
  10. michibo

    Pesa za biashara kuchukuliwa zote kwenye droo ya kuhifadhia pesa kimazingira

    Umeambiwa pesa zote za mauzo zinapotea, kama nimeelewa vema.
Back
Top Bottom