Recent content by michepuko

  1. M

    Waislamu Waamua kumwaga Ugali baada ya CCM kumwaga Mboga

    Mi naomba ufafanuzi kutoka kwa faizafox.
  2. M

    Shindano la kumtafuta miss jf (MMU)

    Ushakua bibi mara hii mate?
  3. M

    Shindano la kumtafuta miss jf (MMU)

    Mkuu acha utani na Sitti Mtemvu.
  4. M

    Wadada wazuri mnatufanya wakaka tuwahi maofisini

    Unakuaga huna kazi ya kufanya au kuandaa chaio ndio kazi zako hapo ofisini kwenu?
  5. M

    Mtangazaji wa ITV Hemed Kivuyo, atosha

    Bonge Kivuyo ni noma,anaitendea haki kazi yake.
  6. M

    Utafiti: Wanachama wengi wa CHADEMA ni watu waliokata tamaa ya maisha

    Mate nimekukubali,kumbe hata huku kwenye siasa uko vizuri?Mi nikajua ni MMU tu.
  7. M

    Nitaiweka wapi sura yangu

    Sijambo mate,huu ndo msemo wake mkubwa huyu,nlikua namuuliza tu mate.
  8. M

    Nitaiweka wapi sura yangu

    Huyu kijana sio Fataani?eti dada@FaizaFoxy?
  9. M

    Obama alipomkumbatia ''Mgonjwa wa Ebola''

    Huyu jamaa anapenda chini sana.
  10. M

    Kwa wale wanywaji wenzangu, Hennessy cognac si mchezo

    Marire inaonekana we ni mkali wa zile muvi za ngono,maana neno shemele kule ni maarufu sana.
  11. M

    Kwa wale wanywaji wenzangu, Hennessy cognac si mchezo

    Mkuu hiyo kitu hata Jayz amewahi kuisifia kwenye moja ya nyimbo zake,Ni moja kati ya pombe classic kabisa.
  12. M

    Usiku wa Jumamosi ya tar 18 Oktoba, nilivamiwa na wezi nyumbani ninapoishi

    Mkuu slim5 hakuna jambo jema na la busara kama hao wezi walivyokuachia bluetooth yako ikiwa salama,vinginevyo hata leo hii usingekua na nguvu ya kutupa taarifa hizi.Kikubwa napenda tu ufahamu kwamba spare zinanunulika zingine lakini bluetooth yako huwezi kuireplace.
  13. M

    Smuggled oil, sex slaves, kidnappings, crime: Inside the Islamic State’s million-dollar money strea

    The United States has ramped up a campaign to squeeze the Islamic State’s astounding ability to get cash, a highly sophisticated moneymaking machine that has generated tens of millions of dollars since mid-June and made the group one of the world’s richest extremist forces, officials said on...
Back
Top Bottom