mimi ni nani hata nikatae? tena hakuna mke wa mtu mgumu mbele ya boss wake
kwanza wanawake huona sifa akitongwa na boss wake.
wengine wanawaringishia wanawake wenzao kutoka kimapenzi na wafanyakazi wenzao.
Mkuu wala usiende huko mbali kote nakupa siri hii nenda maeneo ya sarawe kijiji flani kinaitwa mahando kule kuna mbuga za kutosha ongea na wenyeji wakupe abc namna ya kukodi ingia shambani kitunguu kinastawi sana kwenye hiyo mbuga. mwaka 2019 nilkuwa na katisha kwa pikpik ilikuiwa kiangazi mwezi...
huku kuna watusi walishavamia mashamba ya wazee wetu wakijimilikisha .. wazee walipoanza kesi walifatwa nakuambiwa wawauzie la sivo hawataambulia kitu. wazee wakafanya hivyo kwa uoga. je naweza kuwashitaki hao wanywarandwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.