Recent content by michaeljuma1986

  1. M

    ITV na CHADEMA

    pole sana ndugu
  2. M

    Natafuta box za kufrashia simu mwenye nazo au ayeuza anitafute

    namba 0765129913,nipo dodoma
  3. M

    K/Mkuu wa Chadema, nakuomba siasa maneno tuizike, tuanze siasa vitendo

    Katibu mkuu mpya Chadema nakuomba kwa moyo wa dhati siasa maneno tuiziki tuanze siasa vitendo; 1. Tuwatumie wapenzi wa chadema kuunda makundi ya wakulima,wajasiliamali na tuwatafutie mitaji na masoko ya bidhaa zao. 2. Kila mkoa uandae mikakati ya kuwainua wanachama wetu kiuchumi kwa...
  4. M

    Msaada tecno m3 inaandika unfortunately,privacy guard has stopped

    Msaada tecno m3 inaandika unfortunately,privacy guard has stopped
  5. M

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    NI ICJ SIO ICC.! Kuna watu wamekua wakihoji iweje viongozi wa UKAWA waende ICC wakati hakuna makosa yoyote ya uhalifu wa kivita yaliyotokea nchini? Wengi wanaoongea hivi ni CCM na wanaonekana wazi kuwa wako misinformed. Mara nyingi CCM huwa wanajenga hoja bila kuwa na taarifa za kutosha...
  6. M

    Zitto akaribishwa NCCR-Mageuzi Urais 2015

    yeye ni nani mpaka mnamjadili mno
  7. M

    Prof. Baregu: Ama aende na Zitto, Au awe kama Prof. Lwaitama, ama asubiri kufukuzwa

    pole sana,mnahangaika sana na cdm,huu mziki hauzimi kwa propaganda tu
  8. M

    Zitto ndani ya kipindi cha Dakika 45 za ITV - Machi 16, 2015

    niulize kidogo,mnajua wajibu wa mwanachama wa chadema?mnajua lengo la chadema? hata mwanamke anaweza kuwa mchapazi kwa jamii lakini asiwe na msaada kwako mwenye mke!hivyo ukimwacha jamii ile italalamika sana kuwa umeacha mke mwadilifu lakini wasijue usiku ukiwanae anakufanyia nini?
  9. M

    Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

    katiba ndio iliyomfukuza
  10. M

    Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

    hata chege ni msomi mzuri sana lakini si kiongozi mzuri vilevile zito ni msemaji mzuri ila si kiongozi mzuri
  11. M

    Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

    labda wewe zito humjui vizuri usimfananishe na musa,mtu ambaye ameshindwa kuishinda tamaa hivi wewe unaona zito ni kiongozi mzuri kwa lipi hasa kuongoza siyo kuibua tuhuma hata hizo tuhuma alikuwa anapewa na watu akazungumze siyo yeye alitafuta taarifa.ni vizuri ajifunze namna ya kuendesha siasa
  12. M

    Mh. Zitto rudi ktk njia ikupasayo mimi nakupenda sana ila...?

    Huyu ni naibu katibu mkuu chadema,mbunge chadema,naibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni,waziri wa fedha kivuli,mjumbe wa kamati kuu chadema,mwenyekiti wa PAC ,nk.mtu umepewa nafasi zote hizo ktk chama lakini unasema kwenye vyombo vya hab...ari kuwa ndani ya chama hakuna demokrasia wakati...
  13. M

    Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010

    Tutafakari kwa pamoja
Back
Top Bottom