mkuu japo umefanya maamuz sahihi lakin ni ya haraka sana kama ungesubiri ungepata majibu yote kuwa hawa watu hivyo vitu na vituko ni mipango yao yote maana apigaye mruzi baadae ataimba tu nyimbo yenye kueleweka mda huu utaambiwa tu unamfukuza mke kwa maneno ya mdogo wake tena alisema kwa hasira tu
Nyie wototo mliozaliwa na kukulia mjini nyie mnatabu sana dogo ipo siku utatoka mjin alaf utakuja kutubu hapa wee acha tu mim mwenyew nilitoka sinza nikaendaga kusoma shinyanga vijijin huko nikakubali mim ni kama dem wa mjin mbele ya wanawake wa kule asee
Kwanza hiz fact zako according to nin maana nilichoona hapa umesikiliza kipindi cha wasafi kile na umechukulia sahihi ukaona Yesu alikuwa msela tu bro jaribu kukua mkubwa
Sasa we umepajua kushoto na yeye akienda kulia kwa mtaalam zaid itakuaje hiyo vita ujue tena vita hatari inayohotaji kinga kubwa
Sent from my SM-N920S using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.