ok sawa anakubalika, lakini kwa ufisadi huuu hapana atuachie nchi yetu na naomba mungu wote wanao husika laaana iwakute watu wameteseka kwa kukosa panadol tuu wao wanagawana bilions inauma sana kuna wanafunzi hawasomi kisa pesa bora wangetukopesha kuliko kuficha banki ulaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.