Recent content by michael pamba

  1. M

    ZITTO: Msimamo wa ACT Wazalendo kuhusu Ushirikiano wa vyama

    acha kupotosha watu wewe ni kada wa ccm tuu ngashtukaaa.
  2. M

    Muhongo anakubalika na watu jamani!

    ok sawa anakubalika, lakini kwa ufisadi huuu hapana atuachie nchi yetu na naomba mungu wote wanao husika laaana iwakute watu wameteseka kwa kukosa panadol tuu wao wanagawana bilions inauma sana kuna wanafunzi hawasomi kisa pesa bora wangetukopesha kuliko kuficha banki ulaya.
  3. M

    Wasanii wa Bongo fleva waliotangulia mbele ya haki (R.I.P)

    duuuh wana kibao wametangulia, Rip, ngwea, mabovu, langa, mr ebo, coplex $ vivi, chef ramso, kanumba, adam, daaah! wengine kibao. R i p.
  4. M

    Imamu afariki mikononi mwa polisi Arusha

    hakuna ugaidi tanzania, gaidi yoyote akikamatwa kifo tuuu dini kabila yoyote police uwa over.
Back
Top Bottom