Recent content by Michael makassy

  1. Michael makassy

    Kila mgonjwa wa moyo ni lazima afanyiwe upasuaji?

    Habari za humu ndani wakuu? Wanasemaga kuuliza sio ujinga. Eti ukijulikana una tatizo la moyo kwenye mishipa au kitu chochote kinachopelekea moyo kuwa na tatizo ni lazima ufanyiwe upasuaji au kuna matibabu mengine yataendelea? Na je kuna uwezekano wa kupona baadhi ya visababishi...
  2. Michael makassy

    Mchezo mchafu wa zebra wanaofanya trafiki polisi Magomeni usalama, siku nitatengua mtu kiuno, endeleeni hivyo hivyo.

    Hahaha pole sana kaka Mimi hiyo kitu ilinitokeaga pale mchicha nilikuwa nimeitungua na ule mteremko wa flyover ya mfugale basi Daaah nikicheki dashboard speed 140 alafu watu ndo wanataka kukatiza walipo iyona imeiva huko wakatulia bwaaana!.....bwaana! Kumbe walikuwepo njaa kali bwana, si ndo...
  3. Michael makassy

    Maumivu kwenye kwapa

    Habari zenu ndugu zanguni Kuna maumivu ambayo nayapata kwapani ambayo sijui yametokana na nini Yalianza juzi nilipo amka tu nikahisi maumivu kama kuna kipere lakini nikapuuzia Ila jioni maumivu yakawa makali sana kiasikwamba mpaka nikapata homa ila nilimeza paracetamol homa ikashuka nikalala...
  4. Michael makassy

    Kwanini waganga wa kienyeji huwa hawalagi matembele

    Kuna wakati huwa nacheka mwenyewe tena kwa sauti Unakuta mganga anamwambia mgonjwa eti Lete kuku, mbuzi ng'ombe nk. Lakini sijawahi sikia au kuona amemwambia mgonjwa eti niletee tembele au bamia lakini najaribu kuwaza hivi vitoweo ndo chakula cha shetani au vipi Waganga Kama mpo humu hebu...
  5. Michael makassy

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Chakula cha usiku kinakuwaga kizuri sana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Michael makassy

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Utajilamba ukionja asali Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Michael makassy

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mchanga wa pwani sio kama wa msimbazi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Michael makassy

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Chungu kilianguka mala tu alipo kuwa akidokoa mboga Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Michael makassy

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Michael makassy

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kubwa la kushangaza aliye kuwa kada wa chama democracia na maendeleo CHADEMA arudi CCM. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Michael makassy

    Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

    Aaaaah!.. Zilipendwa hizo aysee Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Michael makassy

    Gari ipo sokoni

    Kuwa serious basi Boss wangu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Michael makassy

    Gari ipo sokoni

    Habari za humu wana jamvi Jamani chombo hicho kipo sokoni TOYOTA IPSUM Bei 9.5 mawasiliano 0679988696 Ipo muda wote piga simu tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Michael makassy

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Hahah!.. douh nimekubari mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom