Msaada tutani nilikuwa nauliza gharama ya kununua na upatikaji wa mitambo ya kuanziasha kiwanda cha kutengeneza pombe Kali jamii ya double kick, strong etc.
Kwa yoyote mwenye ABC karibu.
Ahsante
Kumbuka na dodoma wanajenga machinga complex ambayo itachukua idadi kubwa wa wafanyabiashiara na ushuru pia. Pale uwanja wa barafu Kuna fremu zinamwagika za kutosha so dodoma ukilinganisha na mwanza kwenye ukuaji kwa miaka mitano nyuma lazima tukubali dodoma inakua kwa kasi sana. Na mbeleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.