Recent content by Mia saba

  1. Mia saba

    Ni kwa muda gani Jicho la Tatu linafunguka kabisa?

    Uliwezaje kuingia kwenye time ya mtu mwingine? Tuambie uliwezaje na dhumuni ulikuwa nini
  2. Mia saba

    Hivi wananchi wa TARIME wameshindikana katika Nchi hii?

    Miongoni mwa watu wastaarabu kuishi nao ni wakurya ILa Usiombee ukajaribu kujua ukali wa kiwembe kwa kuulamba hutoamuni mura
  3. Mia saba

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii biashara ngumu Sana Maafisa
  4. Mia saba

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Anajiita Nani huko twita @rikboy
  5. Mia saba

    Hivi ni kweli Yesu alimtokea Nabii Mkuu physically?

    Ukitoka nje ya mwili na kuja nini kitatokea kesho uwe unatutengenezea jamvi sisi wazee wa mikeka. Tutakushukuru Sana kila siku ,
  6. Mia saba

    Naomba nyimbo yako bora kutoka kwa huyu mwamba msomi, legendary

    Mwamba huyo ni koffi olomide. Yoyote moja itutulize na sisi great thinkers
  7. Mia saba

    Natafuta Boyfriend

    Bila picha uzi ni batili😂😂
  8. Mia saba

    Hii hali unadhani husababishwa na nini?

    Naanza na salamu kwa wote mlioko kwenye mfungo, natumaini hamjambo. Iko hivi, Unakuta mnauhusiano na mtu au watu fulani either kimasomo, kikazi au kiutafutaji. Punde tu mmoja wenu katika hizo nyanja za kuwa pamoja akifanikiwa unakuta anakimbilia kubadilisha namba ya simu. Binafsi hii hali Huwa...
  9. Mia saba

    Kama Maisha yako yangekuwa kitabu, chako ungekiitaje? Na ungemtumia sababu zipi kukiita hivyo?

    Jina la kitabu changu ningekiita. NDIVYO YALIVYO. Sababu. 1. Mpaka Saa hii nimegundua kubishana Sana na hali ya maisha ni kujipotezea muda. (Ndivyo YALIVYO) 2. Mapenzi bila pesa ni bure hata waje watabiri wa nyota ILa mwisho pesa ni muhimu. (Ndivyo YALIVYO) 3. Marafiki wengi wanamatatizo...
  10. Mia saba

    Wanaume acheni kufanya uzembe kama huu. Hivi mnajielewa kweli??

    Huyu jamaa ni wewe😂😂😂😂
  11. Mia saba

    Hii imekaaje kisaikolojia ya mahusiano

    Nimefurahi kujua pia tuko wengi. Huwa najishangaa sana, wakati wakusoma o level to A level baba alinihimiza Sana kushika urafiki na watu wanaoongoza darasani. Sasa Mimi Huwa ni opposite na mawazo yake maana wanaokula Mara nyingi hujiona na majivuno mengi hivyo na pigs chini natafuta average...
  12. Mia saba

    Hii imekaaje kisaikolojia ya mahusiano

    Na hao watano leo hii Sina mwenye namba yake hata mmoja. Just a memory Hao
  13. Mia saba

    Naomba kujua hili limekaaje kisaikolojia

    Kwa sababu ya kuwa hivyo kwa mda mrefu nilikuwa nikiona Sina tatizo lolote na mtu akili haikuwahi kupata destruction yoyote hadi pale nilipoingia kwa uwanja wa mapenzi na kuandikia hii sms na msichana huyo " Forgive and forget" ilikuwa zaidi ya bomu ya yerushima japani
Back
Top Bottom