sijawahi kuona kiongozi aliyepata kuheshimiwa inchi hii baada ya Nyerere kama mkapa.
Lakini leo huyu bwana atukana live katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni kwa kuwaita Wapinzani wote kuwa Wapumbavu,kauli hii unaisemeaje kama mudau wa inchi hii na mpiga kura.
Wanajamvi kama ambavyo CCM wametuonesha karata yako ni Kamanda Magufuli mi binafisi sijawahi kumusikiliza huyu bwana akimwaga mikakati yake ya uongozi wake kama mbunge.leo kapewa rungu basi kabla ya kura hapo october aje kwenye media na wapinzani wake wakuu tupate kuchambua ukweli na ubabaishaji...
Ccm ni wapumbavu sana wamemukamata mwenyekiti wa wilaya wa chadema wilaya mr Makanyaga.
Wanajaribu kutisha watu na viongozi wetu ni mchezo uleule uliofanywa kwa lwakatale mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CDM.
Na sasa hivi anayeucheza mchezo huu ni mkuu wa mkoa
Eti serikali imeanza kulipa watumishi wake moja kwa moja kwenye account zao kuanzia mwaka jana mwezi wa saba yaani July 2014.
Mwigulu nchemba huyu.
Huyi jamaa kumbe mweupe kweli au ndo desturi ya viongozi wetu.Mibinafisi nimelipwa direct kwenye account yangu kuanzia mwaka july 2008 hadi sasa...
Mzee musuya kufukuza tena naona mumechelewa na hatari ninayoina munazidi kulisogelea shimo kabla hamjatumbukia humo.jiangalieni vizuri
Ila huyu mtu CDM hatutaki hata kumusikia Lowaza wenu
Jamani hii habari ni yakweli na ni mAjabu ya kufunga mwaka mwanachama wa CCM na magamba yake kuhutubiA mkutano wa dokta.
Hebu mulokuwepo tusaidieni tujue kama pengine jamaa kajisahau tu kubadili magamba yake kama ameshahamia UKAWA.
Huyu pamba ndo umeona anafaa kwa magu?
Hatutaki uzawa tunataka mchapa kazi
Pamba kaangusha kata ya sinza mjini kabisa kaendekeza kurusha sura yake tu kwenye Facebook mara anachinja mbuzi mara yuko ujerumani.
Hatutaki matangazo hayo hapa saahivi ni kazi tu.
wanajamvi kama kawa habari ya mjini ni ukawa inchi nzima
matokeo kutoka mji mdogo na baadhi ya vijiji Wilaya ya Magu
mitaa ya magu mjini
CDM 10
CCM 6
vijijini sasa
nyasato CDM
kabila CCM
Jinjimili CDM
kabale CDM
kayenze cuf
igombe CDM
mahaha UDP
shishani CDM
mwabulenga CDM
Lumeji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.