Ukichukua bank statement CRDB unakatwa tsh 11,000/=

Ukichukua bank statement CRDB unakatwa tsh 11,000/=

Dupe

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
1,668
Reaction score
813
Nilishangazwa na hii kitu majuz nilipoenda kuchukua Bank Statement ya A/C yangu then nikaambiwa unalipia 11,000/= …!! Nikajiuliza ni ile ya karatasi,wino wa printer na pen za kusain au mengine…!????

Watumiaji wa NMB, EXIM na nyinginezo nanyi mukatatwa viwango hv? Na nani anazisimamia haya mashirika ili yasiwanyonye wateja wao……???
 
Nilishangazwa na hii kitu majuz nilipoenda kuchukua Bank Statement ya A/C yangu then nikaambiwa unalipia 11,000/= …!! Nikajiuliza ni ile ya karatasi,wino wa printer na pen za kusain au mengine…!????

Watumiaji wa NMB, EXIM na nyinginezo nanyi mukatatwa viwango hv? Na nani anazisimamia haya mashirika ili yasiwanyonye wateja wao……???



Mhamie FINCA kila transaction bureeee yaani fika na finca baba
 
ulichukua statement ya muda gani? kwa nnavyojua ukiomba statement ya kati ya mwezi hadi miezi mitatu ni bure, zaidi ya hapo wanatoza kadiri muda unapokuwa mrefu.
 
leo mie nimeenda kulipia bill ya maji nikaambiwa nitoe elfu moja "kamisheni"
Nimeshangazwa sana.
 
Nilishangazwa na hii kitu majuz nilipoenda kuchukua Bank Statement ya A/C yangu then nikaambiwa unalipia 11,000/= …!! Nikajiuliza ni ile ya karatasi,wino wa printer na pen za kusain au mengine…!????

Watumiaji wa NMB, EXIM na nyinginezo nanyi mukatatwa viwango hv? Na nani anazisimamia haya mashirika ili yasiwanyonye wateja wao……???
Starehe gharama""""'; kaziweke chini mto
 
mambo ya bank hapa yametoka wapi tena: au nao ni siasa? hebu toa uzi wako hapa
 
walitangaza kua gharama zao ztapanda kwa kasi ya ajabu. hiyo ni dalili ya wajanja kutaka kuuwa hyo benki
 
Kipindi unafungua akaunti hukusoma fomu zao kuhusu vigezo na masharti. Au uliweka sahihi tu na kulipia gharama za ufunguzi.
 
Mkuu hata ukiulizia salio/balance wanakata jero.. nisheeda
 
Bank zinaratibiwana BOT. Lakini hiyo BOT iko bize na madili ya Escrow n.k Wananchi wanendelea kuibiwa na mibenki ya bongo
 
Hapo ndipo hiyo bank ilipowekeza, hawana mipango mingine zaidi ya hiyo
 
Mkuu,

Mi nina Exim, Mwananch DSM na NMB. EXIM na DCB hawana hiyo. Ila NBC 5,000/page. Sahizi nataka niachane nao.EXIM is the best to me. Sahizi kadi zake zote unaweza ununua vitu online.
Nilishangazwa na hii kitu majuz nilipoenda kuchukua Bank Statement ya A/C yangu then nikaambiwa unalipia 11,000/= …!! Nikajiuliza ni ile ya karatasi,wino wa printer na pen za kusain au mengine…!????

Watumiaji wa NMB, EXIM na nyinginezo nanyi mukatatwa viwango hv? Na nani anazisimamia haya mashirika ili yasiwanyonye wateja wao……???
 
Benki ya kifisadi hiyo..niliiacha miaka mitano iliyopita kutokana na huduma mbovu na kutowajali wateja..
 
Ilikuwa nzuri mwanzoni ila sahivi ni karaha sana kwa benki hii na wanavyopoteza pesa kupitia sim banking wanaiba kama simba mwenye njaa
 
Back
Top Bottom