Recent content by mhindijohn

  1. mhindijohn

    Kumbe Kakobe ni CHADEMA muda tu, ndio maana anaishambulia serikali ya CCM

    Kuna laana inaisumbua nchi hii hata hivyo maombi ya nguvu yanahitajika kabla hazijaja nyakati mbaya. Na asikiae na afahamu
  2. mhindijohn

    Nimepoteza kadi ya bank. Naweza Toa pesa bila kadi?

    Tumaini sim banking. Kama umesajiliwa
  3. mhindijohn

    Ukweli mchungu: Tanzania hakuna ma IT..kuna mafundi mchundo tuu

    vizuri at least umejaribu kumpa elimu huyu layman Dumb head boy Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mhindijohn

    Ukweli mchungu: Tanzania hakuna ma IT..kuna mafundi mchundo tuu

    Wakusoma nenda shule kwanza na urudi hapa. Ume generalized tu IT then unatokwa na povu . Unapawa ujue nini maana ya IT halafu , Ufahamu field ya IT imegawanyika katika categories gani, halafu katika categories kuna field ngapi,halafu katika field hizo mtu amesomea IT lakini ame base kwenye...
  5. mhindijohn

    Nahitaji Kuwa Nje Ya Toyota!!!!

    Shida ya baadhi ya kijapan ni t3chnical fault wakati wa dharura kama kupasuka tairi . Mfano .noah,harrier,Rav 4 na baadhi mengine kupasuka kwa tairi juu ya spidi 80 usipokuwa makini limeenda ,tofauti na BMW,Benz,Volkswagen na Audi
  6. mhindijohn

    Nahitaji Kuwa Nje Ya Toyota!!!!

    Yaani kama mimi kuanzia uncle yangu mpaka bro ni Volkswagen. Golf touran . Na Audi A4 Variant Na sijaona shida .na mimi ninampango wa kuwa na Volkswagen touran .maana Toyota imeshakuwa kama soya sokoni.
  7. mhindijohn

    Sakata la Boeing 787-8:Website hii haitupi majibu tunayoyatafuta?

    Hata mimi nimeliona hilo yaani yetu inasemekana ni line no 719 wakati hazijafikia huko, Je tumeliwa?
  8. mhindijohn

    Serikali wanunulieni mapolisi wetu gari zenye kuzuia risasi kupenya kama walizonazo Kenya

    Sio Kenya tu wanazo pia Uganda ,South Africa,Ethiopia ingekuwa tija sana kwa majeshi yetu ya polisi
  9. mhindijohn

    Mauaji ya Polisi: Mwigulu azungumzia vilivyohisiwa visababishi vya sintofahamu hiyo

    The government shouldn't ignore this advice. CC.Mwigulu,IGP and other intelligence
  10. mhindijohn

    Bashe: Kuna kikundi ndani ya Idara ya Usalama (TISS) kinahusika na utekaji. Wabunge 11 wapo kwenye orodha ya kutekwa

    Tudhibitishie haya yanayoendelea hayana mkono wa kikundi flani cha kimafia ndani ya nchi hii kwa concrete evidence
  11. mhindijohn

    Kosa kubwa analifanya Rais nikudharau hata wale wamemfikisha alipo je atadumu?

    Bado hizi I ,II,III,IV,V,VI,VII,VIII,IX ,,,,,,,,, Tukimaliza tunahamia Xy-x= Ndio tutakuwa sawaa
Back
Top Bottom