Nahitaji Kuwa Nje Ya Toyota!!!!

Mimi kama muuzaji magari, nimeshakutana sana na changamoto za wateja kuniomba ushauri. Wanatamani sana kuwa nje ya toyota lakini kancho watatiza ni mafundi.

Jibu langu huwaga ni moja

Unapaswa kuhakikisha kwamba, muda wa service unalipeleka moja kwa moja kwenye kampuni husika kwa service ya uhakika zaidi.

Yaani kama ni nissan au vw, basi service unapeleka tu cfao.

Hapo utafaidi.
Ila ukisema upeleke uchochoroni, itakua ni hasara.
Ni kweli Kuna mtu alikuaga ameua VW Touareg yake sbb ya mafundi wa kibongo, alikua anapeleka CFAO ikawaje sjui akapeleka local garage weee...kurudisha CFAO bei aliotajiwa anaona bora anunue gari mpya tu.,
 
Vipi kuhusu spea za audi wapendwa na bei zake maana mfano kwa gari kama suzuki unakuta spea zinapatikana hata mtaan kwa bei ya kawaida kwa audi anaejua?
 
Kama unataka kuendesha European cars Tz sasa hivi wala usiogope. Spares zipo nyingi tu. Ushauri wangu kama unahitaji Euro car cheap to run chukua VW/AUDI hio ni gari moja.
Audi A4=vw passat tofauti bodi tu.
Audi A3=vw golf mk4 tofauti bodi tu
Vw touareg=audi q7=porsche cayenne tofauti bodi tu

Hayo magari yana spare za kumwaga bongo. Ukisumbuliwa na hilo gari nitafute pm nikusaidie kuanzia spares hadi fundi gani wa kumpelekea.

Bmw 3/5 x5 x3 spares kibao
Mercedes ndio kama toyota

Wengi haya magari yanawashinda kwasababu hawana hela. Huwezi kutegemea spares za bmw,mercedes,vw bei iwe kama toyota.
 
Huu ushauri uliotoa ni mzuri ila sio watumiaji wa magari wote wapo Dar, hadi wazipeleke gari zao sehemu kama CFAO.
Gari nyingi za wabongo ni used over 10yrs ukipeleka cfao unajiibia tu. Mafundi wapo ilainabidi mwenye gari usiwe mapepe na usijitie mjuaji.
 
Yaani kama mimi kuanzia uncle yangu mpaka bro ni Volkswagen. Golf touran .
Na Audi A4 Variant
Na sijaona shida .na mimi ninampango wa kuwa na Volkswagen touran .maana Toyota imeshakuwa kama soya sokoni.
 
Shida ya baadhi ya kijapan ni t3chnical fault wakati wa dharura kama kupasuka tairi .
Mfano .noah,harrier,Rav 4 na baadhi mengine kupasuka kwa tairi juu ya spidi 80 usipokuwa makini limeenda ,tofauti na BMW,Benz,Volkswagen na Audi
 
Ni kweli Kuna mtu alikuaga ameua VW Touareg yake sbb ya mafundi wa kibongo, alikua anapeleka CFAO ikawaje sjui akapeleka local garage weee...kurudisha CFAO bei aliotajiwa anaona bora anunue gari mpya tu.,
Unapomiliki European car jitahidi uwe na tabia za ki Euro.....hands on! Acha tabia za kibwanyeye kuachia fundi gari yako,jifunze basics za gari yako, jua common problems za gari yako.

Gari ikisumbua kwenye engine hamna ramli weka kwenye mashine itasema shida nini. Ukijua shida replace hicho kitu,achana na habari sijui tifanye modification never! Ukiwa hivi hizi gari hazitakusumbua na unaweza kuzijua kuliko mafindi wetu hawa.

Vw touareg ugonjwa wake mkubwa propeller shaft. Nyingi zilizozidi 100,000 miles propeller lazima itahitaji replacement.
Kwenye engine oxygen sensor na air mass sensor ndio huwa zinasumbua watu vichwa. Ukibadili gari kama mpya.

NB:Funndi akifanya diagnosis mwambie akupe print out au fault code. Google hio fault code utajua tatizo ni nini na solution nini. %'kubwa ya mafindi hata kiingereza hawajui ataelewa vipi fault code?
 
Yeah unaweza kusema spea si tatizo unaweza kuagiza..,tatizo lingine fundi na sio wote wanaishi dar kuna wengine wapo shinyanga huko na gari imeroga na gereji na fundi wote wapo dar...!huwezi amini kuna mkoa nishawai kwenda mji mzima hakuna gereji ya car company zaidi ya Toyota wengine wote ni mafundi wa chini ya mwembe.
 
Yaani kama mimi kuanzia uncle yangu mpaka bro ni Volkswagen. Golf touran .
Na Audi A4 Variant
Na sijaona shida .na mimi ninampango wa kuwa na Volkswagen touran .maana Toyota imeshakuwa kama soya sokoni.
VW touran ni family car /mini van moja nzuri sana. Kwa kweli ukiwa na pesa huna haja ya kukimbilia sijui spacio, ipsum nk. Binafsi Polo au Golf itakuwa next step...
 
Kama unataka kuendesha European cars Tz sasa hivi wala usiogope. Spares zipo nyingi tu. Ushauri wangu kama unahitaji Euro car cheap to run chukua VW/AUDI hio ni gari moja.
Audi A4=vw passat tofauti bodi tu.
Audi A3=vw golf mk4 tofauti bodi tu
Vw touareg=audi q7=porsche cayenne tofauti bodi tu

Hayo magari yana spare za kumwaga bongo. Ukisumbuliwa na hilo gari nitafute pm nikusaidie kuanzia spares hadi fundi gani wa kumpelekea.

Bmw 3/5 x5 x3 spares kibao
Mercedes ndio kama toyota

Wengi haya magari yanawashinda kwasababu hawana hela. Huwezi kutegemea spares za bmw,mercedes,vw bei iwe kama toyota.



Mkuu kwa mfano spare za Touareg ya 2006 zinazobadilishwa mara kwa mara kama hizi ni bei gani?

1. Brake pads za mbele na nyuma
2. Shockups
3. Air cleaner
4. Fuel filter
5. Oil filter
 
Mkuu kwa mfano spare za Touareg ya 2006 zinazobadilishwa mara kwa mara kama hizi ni bei gani?

1. Brake pads za mbele na nyuma
2. Shockups
3. Air cleaner
4. Fuel filter
5. Oil filter
Pitia PM
 
Mimi kama muuzaji magari, nimeshakutana sana na changamoto za wateja kuniomba ushauri. Wanatamani sana kuwa nje ya toyota lakini kancho watatiza ni mafundi.

Jibu langu huwaga ni moja

Unapaswa kuhakikisha kwamba, muda wa service unalipeleka moja kwa moja kwenye kampuni husika kwa service ya uhakika zaidi.

Yaani kama ni nissan au vw, basi service unapeleka tu cfao.

Hapo utafaidi.
Ila ukisema upeleke uchochoroni, itakua ni hasara.
Mkuu huku cfao gharama hatari....nilipeleka BMW yangu haki ya Mungu nilivoletewa charges ilinidi niiache gar siku3
 
Ni kweli Kuna mtu alikuaga ameua VW Touareg yake sbb ya mafundi wa kibongo, alikua anapeleka CFAO ikawaje sjui akapeleka local garage weee...kurudisha CFAO bei aliotajiwa anaona bora anunue gari mpya tu.,
Hahaha cfao noma
 
Back
Top Bottom