Hahahah jombaa upo vizuri sana ila mimi nitoe surpot tu kwako kwamba kama kuna mtu yeyote anapanga kumuondoa duniani kwa kusema eti siku zake zinahesabika hawezi kumuondoa labda yeye ndio atakua wa kwanza kamtishie mtoto kwamba nyau anakuja ili akimbie lakini sio mtu mzima na akili zilizojaa
Kwa ninyi mnaotoa coments zenu mara mnasema non sense mara utafanya nini hembu jiangalieni mara mbili yule mwananchi asiye na hatia alipigwa na nani kama sio police je tukiendelea kupiga kimya na kusema hayo maneno non sense mara utafanya nini inamaana wewe sio mtanzania?
Je hujaguswa na...
Now a days haki za raia hazifuatwi kivile au ni kama zinaelekea kufutwa. Haki hizo ni pamoja na:uhuru wa kuongea,uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa mikutano ya hadhara. Sasa je tunakoelekea ni wapi kama hatutasema mabaya yanayofanywa na serikali? Je nini maana ya...
Wewe ndio akili zako zipo nyuma sana aliyekuambia mtu akitaka kugombea ananyimwa ridhaa na chama chake ni nani je wewe ndiye msemaji wa chama chake?,je usaliti aliouonyesha ni upi au hnataka tu kuleta mambo yako ya kusema watu ni wachochezi kwaajili tu ya kumsema rais kwamba kuna mambo...
Safi sana brother kweli upo vizuri kwenye kufunga magoli hongera na huyo mliyecheza naye hongera yake ila ukifukuzwa kazi njoo nikufundishe kwamba unatakiwa ukae muda gani kazini ili uwafahamu kwanza madem wa hapo ndio uanze mchezo wako ili yakikutokea ndio ujue kwamba unatakiwa kufanya nini
Hapo kinachofanyika ni kwamba watu wanaangalia ugali wao tu kwasababu walishatishiwa kwamba tukisikia habari negative tu kuhusu serikali tunakufungia. Mimi naangaliaga tu mieleka siku hizi habari nyingine nazipataga humu jf
Guys huu utamaduni wa maaskofu kuongelea mambo ya siasa ni kawaida toka enzi za nyerere na walikua wakikaa karamuni wote na kuzungumza pamoja leo hii askofu kukumbushia katiba mpya mnaongèea kwani vipi mara muanze kumsingizia mkimbizi mkimbizi mbona wasio na elimu kama bashite hamuwazungumzii au...
Huuy ni ubaguzi mtupu kwann asitishe ubomoaji sasahivu? Kwann au kwasababu kule kwao ndio waliomchagua? Je ni rais wa mwanza tu? Mbona kimara mbezi ipo karibu kabisa na ikulu lakini kabomoa? Je,ni kipi hasa kilichomsukuma na jusitisha ubaguzi huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.