Habari ndugu zangu,ninauza simu yangu haina tatizo lolote nimekwama tu baadhi ya mambo ndiyo nataka niuze.
Ipo katika hali nzuri
Bei; Laki tatu (300,000)
Mawasiliano ; 0624-052791
Nilipo ; Dar
Mikufu,pete,hereni,kucha za bandia na mawigi wanayopendelea kuvaa ndiyo naamini ni chanzo maana wigi hajui limetoka wapi anavaa lingine labda la jini maimuna,kucha za bandia wanasema zimetengenezwa ni plastic wanabandika wakati haijulikani kama ni kweli, mikufu na pete inaaminiwa na wengi kuwa...
Ni kweli lakini kwa hali hii ya kuwa vigeugeu serikali itafanya wanafunzi kutojiamini na kufanya ambayo siyo kwa mujibu wa maelezo yanayotolewa. Mfano waliofuata maelezo hawakutuma lakini sasa wanaonekana wao ndiyo wazembe na waliotuma mwanzo ndiyo werevu.
Habari wana-JF
Ni kwa muda mrefu tumesikia lawama za juu ya elimu ya Tanzania kutokuwa na viwango na ni mbovu,na mara nyingi lawama zote zimeelekezwa kwa walimu maana wao ndiyo wako karibu na watoto. Mfano mwanafunzi akishindwa kufanya kitendo fulani kwa usahihi kulingana na maelezo husemwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.