Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,525
- 4,090
Nadhan kureboot hakuna tofauti na zima then washakureboot simu inamaana unaianzisha upya operating system kwa kufuta vitu vilivyopo kwenye ram na kufunga application zote ambazo zilikuwa wazi. ukireboot simu utakosa tu vile vitu vilivyokuwa wazi na hujavisave, mfano ulikua unaandika kitu bila kusave basi kitapotea kila kitu kama hujakisave.