Mzee usimchekee hapo kwako anasubili nini, mfungashe aende kwao,kukaa na ndugu ni muwapa support tu kwa mda wakipata channel waanze maisha yao, siku kukaa nao milele.
Dhambi,ukisoma biblia kuna sehemu imeandikwa,"dhambi zetu zimetutenga na uso wa Mungu(presence of God),hicho ndio sababu kubwa na Mungu jinsi alivyotuumba anatamani sana muda wote tuwe pamoja nae tukifanya mazungumzo mbali mbali.
Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.