Recent content by Mhemba

  1. Mhemba

    TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

    “Tutajenga daraja tukifika mtoni”-the late E.N.L ,pumzika kwa amani.
  2. Mhemba

    Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

    Huo ndo ukweli kaka, japo ukweli mchungu kwetu.
  3. Mhemba

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Oky thanks ndugu
  4. Mhemba

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Hivi kati ya pixel 6 na 6a inautofauti gani pia ipi nzuri msaada please.
  5. Mhemba

    Nimempambania kapata kazi, salary ni 1.5m gross kaikataa kisa kapangiwa kwenda mkoani Mbeya

    Mzee usimchekee hapo kwako anasubili nini, mfungashe aende kwao,kukaa na ndugu ni muwapa support tu kwa mda wakipata channel waanze maisha yao, siku kukaa nao milele.
  6. Mhemba

    Ni sababu ipi ilifanya Mungu akaacha kuongea na binadamu kwa ishara?

    Dhambi,ukisoma biblia kuna sehemu imeandikwa,"dhambi zetu zimetutenga na uso wa Mungu(presence of God),hicho ndio sababu kubwa na Mungu jinsi alivyotuumba anatamani sana muda wote tuwe pamoja nae tukifanya mazungumzo mbali mbali.
  7. Mhemba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
  8. Mhemba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kweli sema wameanza kuweka kanda ya mwanza
  9. Mhemba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi kuna selected for null nyekundu?
Back
Top Bottom