Watanzania tusipobadili mindset tutaishia kulalamika tu kila siku maisha magumu. Shida ya nchi hii ni CCM
Kuanzia leo naitangaza ccm kama janga la kitaifa
Amkeni amkeniiiiii
Inapaswa kabla ya kupandisha mishahara serikali iangalie namna ya kupunguza inflation
Huku mtaani maisha yamekuwa magumu mno. Unapoongeza mishahara kwa wafanyakazi wa umma je hakuna watu ambao sio wafanyakazi? Hao unawasaidiaje? Au hao hawakuhusu? Au maisha yao is non of your business?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.