Recent content by Mhaya wa Arsenal

  1. Mhaya wa Arsenal

    Series (Special thread)

    Nishaicheki. Saivi naona nihame genre kidogo niingie SciFi
  2. Mhaya wa Arsenal

    Series (Special thread)

    Natafuta crime series kama hizi asee. Watu wahuni kweli kweli family business Nishacheki 1. Narcos all versions 2. ZeroZeroZero 3. Gangs of london 4. Godfather of harlem 5. BMF,Snowfall I need something addicting 😂
  3. Mhaya wa Arsenal

    Series (Special thread)

    Vincenzo Jr umelicheki mobland🙌🏾
  4. Mhaya wa Arsenal

    Mahusiano ya upande mmoja

    Japo inauma ila jikatae. Kata waya au ikiwezekana jiteke upotee kabisa 🤣
  5. Mhaya wa Arsenal

    Ingiza $1 kila siku kirahisi kabisa bila kufanya kazi

    5 × 7 = 35 35 × 4 = 140 140 × 12 = 1680 Ukifanya miaka 5 1680 × 5 = 8400 Baada ya miaka mitano una Milioni 22
  6. Mhaya wa Arsenal

    Mwanaume ukishajijua una kibamia, fanya haya yafuatayo kila kitu kitaenda sawa

    Medications for amboni cave, kuwa na mandigo tani sita kitu zito kono la 🦍 urefu NB. Either u have it or u dont. Acha makasiriko 😂
  7. Mhaya wa Arsenal

    Najipendekeza au niachane nae

    100,000 ×4 = 400 000 Ticha🤣
  8. Mhaya wa Arsenal

    Nimenuniwa na mpenzi wangu

    Mioyo chuma, mioyo iliyokubuhu mnaitwa huku mtoe semina🤣
  9. Mhaya wa Arsenal

    Kwanini nyumba ikifika hapa inakuwaga ngumu kumalizia?

    Uoga tu, eti mtaan watanionaje. Weka nyasi hamia ivo ivo. Hutokufa
  10. Mhaya wa Arsenal

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Unasema umejilipua na umebuy stocks tena 'blue chip' 🤣, Uo mtaji Jilipue na ma-crypto yaan unaamka kesho maskin/Tajiri
Back
Top Bottom