Sasa nimewekeza nguvu zangu kuwaelemisha ndugu zangu walioko kijijini kuwa CCM haifai tena.
Nafafanue sera ya CDM wakati mwingine kinyumbani ili tu watu wabadilike.
Juzijuzi m/kiti wa kijiji kachaguliwa wa CDM.
Mwakani ntaomba likizo kuwahamasisha wanchi kuifahamu CDM na kuiunga mkono...
Unajitahidi kumdanganya nani ?
CCM ni wezi kila mtu anajua hivyo.
CCM ni wachovu kila mtu anajua hivyo.
CCM ni propaganda daima kila mtu anajua hivyo.
Bado hunishawishi hata kidogo.
Kila mahali, kila wakati tuhakikishe tunawanyima polisi ushirikiana. Haiwezekani watumike kama kondoo; Polisi nikuwachukia tu. Hakuna kuwasalimia na kubadilishana mawazo popote pale;
Nachuki sana na ploisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.