Pongezi Kwa CHADEMA

Pongezi Kwa CHADEMA

Tanzania bila CCM inawezekana, Watanzania tubadilike tusikubali kununuliwa kama karanga kwa nafasi tena CCM iendelee kutuibia rasilimali zetu tulizoachiwa na wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusiwape tena nafasi CCM waendelee kutupa Huduma mbovu za Afya na Elimu tubadilike

Inawezekana bila ccm lakini kuongozwa na cdm ni janga.
 
Peoplessss! Chadema babu kubwa,ccm ni hofu ya kuondoka madarakani,hofu hii inatokana na maovu waliyoyafanya ikiwepo kuua watu ,kutesa watu,kuweka watu kiuzuizini,kubambikizia watu kesi za mauaji,ugaidi na uchochezi,ufisadi,wizi,matumizi mabaya ya madaraka,kung'oa watu kucha na meno, nk.
 
ccm ni mzoga tena unaonuka, hawafungui macho jinsi wanavyoanikwa uchafu wao tangu EPA, RICHMOND, KIWIRA, phuuu to hell ccm
 
Kila kutu huchoka hata chuma cha pua ncho huchoka vivyo hivyo ccm nayi inachoka. Kuwa ni viongozi kama kina nape,mwigulu,lukuvi,wassira,kigwa,rage,mkamia hizi ni dalili tosha za kuchoka hakuna tena busara ndani ya chama kwani wenge busara hawatakiwi tena.
 
Naona CCM sasa wanataka eti kutuaminisha kuwa CDM na viongozi wake ni magaidi. Kwa ujinga wa CCM na maelekezo yake kwa vyombo vya usalama na sheria vinavyoshiba kutoka kwao wanaona eti wananchi watawapenda, hivi hawajui kwa sasa kampeni zinapigwa kila kona? Mfano mtu wa kijijini ambaye hajui kinchoendelea kwa sasa anaeleweshwa na wa mjini. CCM ni chama cha kigaidi namba moja, walimuua Kolimba, wakamuua Professor Malima, wakamuua Imran Kombe, na juzi wametega bomu wakaua watu. CCM ni waujai na hawatakaa kuturudisha nyuma enzi za CUF. Come 2015 wataona kitakachotokea! Wao ni wachache sisi ni wengi, by numbers lazima waishe tu.
ugaidi wa chadema
1. kumwagia watu tindikali mf mussa tesha huko igunga
2.kulisha watu sumu mf. denis msaki aliyetaka kulishwa sumu na lwakatare na ben sa8 aliyetaka kumlisha sumu zitto
3.kulipua mabomu na kuua watu mf. arusha\
4.kutishia vikongwe kwa bunduki mf makada wa tabata waliotaka kumuua mamake zitto ili awape nyaraka
 
ccm ni mzoga tena unaonuka, hawafungui macho jinsi wanavyoanikwa uchafu wao tangu EPA, RICHMOND, KIWIRA, phuuu to hell ccm
chadema ni mzoga tena unaonuka, hawafungui macho jinsi wanavyoanikwa uchafu wao tangu KUPORA WAKE ZA WATU,KUENDESHA MADANGURO YA USHOGA MF BILICANAZ, KULISHA WATU SUMU MF LWAKATARE, KUMWAGIA WATU TINDIKALI NK
 
Namimi natangangaza rasmi kuwa POliCCM wakikuchapa na wewe chapa hawana lolote wamechoka wanachosubiri ni kifunguliwa mashtaka ya mauaji ya raia baada ya Cdm kutwaa nchi 2015.
 
ugaidi wa chadema
1. kumwagia watu tindikali mf mussa tesha huko igunga
2.kulisha watu sumu mf. denis msaki aliyetaka kulishwa sumu na lwakatare na ben sa8 aliyetaka kumlisha sumu zitto
3.kulipua mabomu na kuua watu mf. arusha\
4.kutishia vikongwe kwa bunduki mf makada wa tabata waliotaka kumuua mamake zitto ili awape nyaraka

una uhakika wa hayo unayoongea , ni kweli ccm hamnazo
 
Tuifie nchi yetu hakuna kulala mpaka kieleweke MACCM full consusion wamewaachia chama Mwigulu NAPE m.kwe.re. Kinana eti ndio think tank ha ha ha my foot
 
Wana JF,

Mimi baada ya kutafakari kwa kina kwa ushindani uliopo na chuki inayojitokeza kati ya vyama vikuu viwili vya siasa CHADEMA na CCM nimekuja kugundua kwamba CHADEMA imeweza kufanya kazi kubwa sana ya kuidhoofisha CCM kwa mwaka 2012 na 2013 kwa kueneza sera zake zinazokubalika kwa Watanzania. Sifurahi chuki baina ya hivi vyama viwili lakini hakuna jinsi kwa sababu ndio hali halisi kuwa waliozoea kutawala baada ya kuona uwezekano huo unaweza usiwepo kabisa 2015 wameamua kueneza siasa za chuki.

Uthibitisho wa kwamba CHADEMA imefanya kazi kubwa ya kuidhoofisha CCM ni siasa za maji taka na chuki inayojitokeza baina ya vyama hivi viwili pasipo kuisahau NCCR Mageuzi. Haina shaka kwamba chuki hii ya CCM dhidi ya vyama vinzani ni hofu ya kuondoka madarakani

CCM walidhani historia ya vyama vya upinzani nchini Tanzania ya kuanza kwa nguvu na wao CCM kuvidhoofisha itafanikiwa kwa CHADEMA sasa wamekuja kugundua muda unaenda badala ya CHADEMA kudhohofika kinaimarika zaidi

Natoa pongezi kwa uongozi wa CHADEMA ngazi ya Taifa , Kanda, Mikoa , Wilaya hadi ngazi ya msingi matunda ya kazi yenu yameonekana

Nawasilisha
Tuko pamoja mkuu katika kuipongeza Chadema....kadiri CCM wanavyo eneza siasa chafu dhidi ya CDM , ndivyo wanavyozidi kuipaisha Chadema...

Magamba siasa zenu za maji taka kwa CDM ndio mtaji wa CDM kama mlikuwa hamjui...
 
Natoa wito kwa graduate tusisubiri kazi za kuajiriwa tujitoe tukagombee nafasi za uongozi katika chama kuanzia shina mpaka Taifa ili tuimarishe chama, pia katika uchaguzi wa mwakani wa serikali za mitaa tupeleke wagombea makini hadi vijijini ambao wataweza kuibana serikali vizuri. Pia tujitokeze katika nafasi za udiwani na ubunge. Mwisho tuwaelimishe vijana wenzetu wajitokeze kwa wingi katika kujiandikisha daftari la wapiga kura. Kwa umoja huo CCM haitakua na chake katika nchi hii
 
Chadema chini ya jemedari mbowe na slaa aaa ccmhawali hawalali jamani, njia nyeupe kwenda ikulu

Halafu magamba ni kama hawafahamu kwamba siasa zao za maji taka, pamoja na kuwabambizia kesi makada wa Chadema ndio wanazidi ipaisha Chadema kilelelni....
Wamekuwa vipofu wala hawaoni
 
Hili liko wazi kila mtu analiona,cha kushauri na kusisitiza katika mikutano yao CDM wawasisitize wananchi hasa vijana kujitokeza kwa wingi katika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kujiandikisha pia kwenye vitambulisho vya uraia ili 2015 kiwe kishindo kikuu

Yani mkuu hapo umeongea point ya maana sana...Wakati wa kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura inatakiwa vijana wote wahamasishwe kwenda kujiandikisha kupata shahada ya mpiga kura..
 
ugaidi wa chadema
1. kumwagia watu tindikali mf mussa tesha huko igunga
2.kulisha watu sumu mf. denis msaki aliyetaka kulishwa sumu na lwakatare na ben sa8 aliyetaka kumlisha sumu zitto
3.kulipua mabomu na kuua watu mf. arusha\
4.kutishia vikongwe kwa bunduki mf makada wa tabata waliotaka kumuua mamake zitto ili awape nyaraka
Kama ulikuwa hujui mambo kama haya unayoyasema ndiyo yanayo ipa credit Chadema....Kwani ndo tuanzidi kuipenda CDM
 
Uzuri wa chadema kila moja ni mfungaji wa goli hakuna specific goal scorer!
Tumewapiga ccm juu na chini mpaka wamejigeuza kuwa chama cha kigaidi
 
Chama kinakosea kubishana/kupakazia viongozi wa CDM badala ya kuongea na sisi wanachama na wafuasi wake.Sisi ndiyo tuna kura ya turufu kwa vyama yvote,hawa CDM wanatuzidi kwa sababu wamesimama wenyewe kwa maana kwamba hawasikilizwi na Polisi na vyombo vingine vya dola!Viongozi wetu wamesahau historia ya huruma ya watanzania hasa jamii moja inapolia kuwa inaumizwa mf.nchi za kusini mwa afrika zilivyosaidiwa na huruma ya waTz.Sasa hivi wengi wanaanza kuamini kuwa Chama kinatumia DOLA zaidi kuliko busara kwani inaonekana kesi ya Igunga inapewa kasi zaidi kwa sababu muathika ni kada wa Chama!Mbona kesi ya Mwangosi haipewi uzito wakati ushahidi uko wazi kabisa.Hayo ni machache nayaona kwa chama!
 
Good comment.

Na kwa taarifa Yao Mipango Yao ya kigaidi ili kuihusisha Chadema haitafanikiwa. Hata mpango wao Wa sasa Wa kumtumia msajili Wa vyama utawatokea puani
 
Sasa nimewekeza nguvu zangu kuwaelemisha ndugu zangu walioko kijijini kuwa CCM haifai tena.

Nafafanue sera ya CDM wakati mwingine kinyumbani ili tu watu wabadilike.
Juzijuzi m/kiti wa kijiji kachaguliwa wa CDM.

Mwakani ntaomba likizo kuwahamasisha wanchi kuifahamu CDM na kuiunga mkono katika uchaguzi wa serikali ya mtaa.
 
Back
Top Bottom