Mkuu nashukuru nauliza hivyo yamewahi nikuta. Ilipiga RADI kuanzia Amita iliungua navyote ambavyo vilikuwa kwe
Mkuu nashukuru nauliza hivyo kwani yamewahi nikuta. Ilipiga RADI Kila kitu kiliungua kuanzia Amita na vyote ambavyo viliunganisha kwenye mfumo wa umeme bila kujali vilikuwa off/on...
Wakuu ameni iwe kwenu.
Wakuu nimefanya uchunguzi wangu ambao siyo rasmi nimegundua nyumba karibia zote kwa mji ninaoishi hazijawekewa KINGA RAD isipokuwa majengo ya benki tu ndiyo yamewekewa.
Maswali yangu.
1. Hizi KINGA RADI zinauzwa kwenye maduka gani?
2. Gharama zake zikoje?
3. Je, hufungwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.