Recent content by Mhakiki

  1. Mhakiki

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu jaribu betwiner
  2. Mhakiki

    Kwa uonevu wa wazi dhidi ya goli la Yanga leo, suluhisho ni timu za Tanzania kujitoa mashindano ya Afrika. Na tujitoe kwa staili hii

    Nilicho gundua Leo VAR haioni ila macho ya WATU yanaona. Kwa tukio lile hakukuhitaji saa ya refa wa var macho tu yameona mpira umebuka mstari.
  3. Mhakiki

    Mbinu watumiazo Mafundi Ujenzi kuibia mabosi zao

    Namba ya kupunguza au kuto ibiwa kabisa kazi yoyote ya ujenzi kabla hujaanza hiyo hatua jitahidi kujua abc zake.
  4. Mhakiki

    Kwanini wanaume wako hivi?

    Uliwahi ona wapi mchezaji anafunga goli anashangilia pale pale? Hukimbia na kwenda kushangilia mbali kabisa
  5. Mhakiki

    Nikisafiri kwenda sehemu sipendi kufikia kwa Mtu

    Mimi Huwa sipendi kushikuru yaani umetoka kuoga Asante,umekula Asante,umetoka chooni Asante, sipendi
  6. Mhakiki

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu Hawa SPORTBET muxmam wanalipa kiasi gani?
  7. Mhakiki

    January Makamba anatakiwa aitwe na kuhojiwa na chama chake kuhusiani na kauli zake zinazohusu uchaguzi wa 2020

    Wanao hitaji uthibitisho ni kama wewe mliozaliwa mwaka 2021 ila waliokuwepo mwaka 2020 tuliona wenyewe kwa macho yetu.
  8. Mhakiki

    Naomba kufahamu mambo haya kuhusu kinga ya Radi

    Mkuu nashukuru nauliza hivyo yamewahi nikuta. Ilipiga RADI kuanzia Amita iliungua navyote ambavyo vilikuwa kwe Mkuu nashukuru nauliza hivyo kwani yamewahi nikuta. Ilipiga RADI Kila kitu kiliungua kuanzia Amita na vyote ambavyo viliunganisha kwenye mfumo wa umeme bila kujali vilikuwa off/on...
  9. Mhakiki

    Naomba kufahamu mambo haya kuhusu kinga ya Radi

    Wakuu ameni iwe kwenu. Wakuu nimefanya uchunguzi wangu ambao siyo rasmi nimegundua nyumba karibia zote kwa mji ninaoishi hazijawekewa KINGA RAD isipokuwa majengo ya benki tu ndiyo yamewekewa. Maswali yangu. 1. Hizi KINGA RADI zinauzwa kwenye maduka gani? 2. Gharama zake zikoje? 3. Je, hufungwa...
  10. Mhakiki

    Kimsingi Tanzania haina Umeme

    Sisi tangu saa 11 jioni Hadi Sasa Giza totoro
  11. Mhakiki

    Mwanamke kumfanya mwanaume ni laana

    Utajisikiaje siku ukifika Mbinguni ukaambiwa hiyo staili haikuwa dhambi.
Back
Top Bottom