Ndio maana hili nchi linakufa kwa kuendekeza uzembe. Halafu tunataka mambo yaende vizuri unajua je hao ambao wamewapotezea muda. Pia nadhani ni kazi za mazoea, hivi kama wanachelewa kwa nini wasitangulize taarifa ya uchelewaji wao? Any way
Nafuu usanii unaoonekana kuliko wa kufikirika.Kuna mwenzio alisema watz waletewe consultant wapimwe akili. Angalia sasa bunge anaangalia kupitia tv. Tusidhalishane kwa kusema akili za watz ni chini au sijui namna ile.
Hoja ni vema wasomaji tuone mantiki, hebu fikiria nccr mageuzi nayo imepata kiti kimoja wakati ni zee kuliko act changa kabisa. Hizo ni ajira za wanasiasa na dawa nikupunguza mishahara na posho uone kama watawekeza kukimbilia bungeni.
Ndio haswa lengo, sio mzaha unaweza sikia ile edward ngoyai mabadiliko lowassa. Hawa kina lissu walimchafua sana mzee wa watu alafu wanababaika eti ngazi za juu. Vipi wachukuliwe hatua na ikionekana wamemchafua makusudi tupa jela.
Tena yamegoma yenyewe yanaudhi sana. Maana ingekuwepo tume huru ni jambo la msingi na ile ya kupinga matokeo ya rais. Ingesaidia walau hofu ya kusema watachakachuliwa. Leo hata hiyo badilibadili kwenye tume huenda ingeufyata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.