Daftari la wapiga kura liko wapi, kuna tatizo gani kulitoa hilo daftari, sheria inataka daftari litoke mapema na lihakikiwe na vyama vya siasa, ndiyo ni lazima NEC wabebe lawama na walalamikiwe kwani kuna taarifa zinasema wamewaondoa vijana wote wenye umri chini ya miaka 35
CCM hawatarajii kushindwa ndio maana huwasikii wakiitisha press conference za kulaumu taasisi za serikali
Tena yamegoma yenyewe yanaudhi sana. Maana ingekuwepo tume huru ni jambo la msingi na ile ya kupinga matokeo ya rais. Ingesaidia walau hofu ya kusema watachakachuliwa. Leo hata hiyo badilibadili kwenye tume huenda ingeufyata.Mbowe anakuja na drama za tume huru ya uchaguzi,usalama wa taifa na vilio vya kilasiku.wakati yeye ndie alieamrisha Ukawa wagomee mchakato wa katiba BMK.
Hii ni tabia ya wapinzani toka 1995.
Mwaka huu tume inafanya kazi kwa weledi sana na mpaka sasa hatujaona mapungufu ya NEC ukiacha shutuma za kitoto kutoka kwa Mbowe.
Kwa jinsi NEC inavyoendesha mambo yake katika uchaguzi wa mwaka huu sitegemei CHADEMA kuwasingizia tume kuwa kuna wizi wa kura.
hii ni tabia ya wapinzani toka 1995.
Mwaka huu tume inafanya kazi kwa weledi sana na mpaka sasa hatujaona mapungufu ya nec ukiacha shutuma za kitoto kutoka kwa mbowe.
Kwa jinsi nec inavyoendesha mambo yake katika uchaguzi wa mwaka huu sitegemei chadema kuwasingizia tume kuwa kuna wizi wa kura.
Daftari la wapiga kura liko wapi, kuna tatizo gani kulitoa hilo daftari, sheria inataka daftari litoke mapema na lihakikiwe na vyama vya siasa, ndiyo ni lazima NEC wabebe lawama na walalamikiwe kwani kuna taarifa zinasema wamewaondoa vijana wote wenye umri chini ya miaka 35
mkuu wanaongea hivyo ili wakishindwa ionekane kuwa wanapendwa na watu sema wanaibiwa kura... wakati uhalisia ni wanapendwa na wahuni tu ....
NECCCM Tumeccm na Polisiccm wamelibaka sanduku la kuraHii ni tabia ya wapinzani toka 1995.
Mwaka huu tume inafanya kazi kwa weledi sana na mpaka sasa hatujaona mapungufu ya NEC ukiacha shutuma za kitoto kutoka kwa Mbowe.
Kwa jinsi NEC inavyoendesha mambo yake katika uchaguzi wa mwaka huu sitegemei CHADEMA kuwasingizia tume kuwa kuna wizi wa kura.
NECCCM Tumeccm na Polisiccm ni vyombo binafsi vya CCMTunakumbushana tu
NECCCM Tumeccm na Polisiccm ni vyombo binafsi vya CCMCCM hawatarajii kushindwa ndio maana huwasikii wakiitisha press conference za kulaumu taasisi za serikali
Ndio kawaida yaoTulishasema hili