rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
Hawajiamini.