tehetehe anasema kwa taarifa alizokuwa nazo ni kwamba ajira mwezi wa saba na kilichokuwa kinapelekea huko ni suala la kura ya maoni na serikali ilikosa pesa za kuwapa walimu za kujikimu. sasa anasema kwakuwa mchakato wa katiba umesitishwa basi huenda ndani ya mwezi huu wakati wwt jamaa wanaweza...
Umenikumbusha kitu, Kuna jamaa juz kati kaliwa tigo lakini wafanyakazi wenzake tukapigiwa simu baada ya kuwa amezimia tena porini, tulimpeleka kwake na baada ya siku kama 6 alirud, tukawa tunamuuliza kulitokea nini akawa anatujibu "kwa mbinde kishenzi" hahahaaa
Wanafunzi hao wamepewa barua zilizokariri kuvunjw kwa sheria za chuo kwa maandamano yaliyofanywa tar 29/5 mwaka huu kushinikiza kupewa hela zao za mkopo. wanafunzi hao wamesitishiwa masomo kwa siku 7 ambapo watakwenda kuhojiwa na kamati ya maadili na mwisho kusubiri SENATE kujadili utetezi wao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.