Recent content by mguu ndama

  1. mguu ndama

    Kura ya hapana yaibua mjadala upitishaji bajeti ya Serikali

    What a stupid country? Everything is nonsense.
  2. mguu ndama

    Jiongeleshe apa...

    Mtu nimeanza kumpiga tangu zamani Nimempiga nimempiga weee.Sasa kashtuka.Kashtuka kabisa ila anataka mapumba tu mahindi niendelee kumpiga.
  3. mguu ndama

    Lissu, wasomi duniani kote hawafanyi hivyo

    Inakera ndio maana lissu anakuwa mkali.We utaachaje dhahabu ipigwe we ung'ang'ane na mchanga? Inakera.Tena kule China hawakuachi unakula shaba.
  4. mguu ndama

    Makapuku Forum

    Makapuku wenzangu naombeni mwenye anuani ya katibu mkuu utumishi
  5. mguu ndama

    Ushauri wa Tundu Lissu kwa Serikali ni wa kijinga na Serikali itakuwa ya kijinga kuukubali

    Ni ngumu sana kumwelimisha MTU shabiki asiyekuwa na vidato ni ngumu sana.Hivi kampuni inawekewa sheria eti ilipe kodi baada ya kutangaza faida hivi hata ni wewe utatangaza kweli au utataka kula vya mjinga? .Sheria nyingine inasema madini yachimbwayo mgodini pale ni yao yote sasa jiulize walikuja...
  6. mguu ndama

    Ushauri wa Tundu Lissu kwa Serikali ni wa kijinga na Serikali itakuwa ya kijinga kuukubali

    Lissu anazungumzia Sheria za hovyo zilizo ktk mikataba zilizopitishwa na bunge miaka ya 97,98 na 2010.Ni bunge letu sisi wenyewe ndilo limetisha hizo sheria mbovu.Sasa hapo usichoelewa ni nini kama sio ushabiki wa kijinga au ni elimu huna?
  7. mguu ndama

    Mh Rais yanayomshinda hayaongelei tena

    Mwanza nilikwenda nikakuta sukari sh3000!.Kutoka mwanza kwenda kagera sugar izalishwapo sukari ni umbali wa mwendo wa saa12 na pungufu.
  8. mguu ndama

    Waziri Mkuu 'ashusha rungu' kwa wanaowapa mimba wanafunzi, awataka TAMISEMI kukamilisha maabara 4587

    Bana we nawe umeona.Duh! Shule zimefungwa sasa huku mtaani no shida.Kisichana kinakwenda dukani na blauzi na khanga tupu.Kinatoka dukani kinapitia saloon ya kiume kinaenda kupiga story huku kinajiachaacha wazi sijui kinamaanisha nini kama sio kiherehere cha kujipeleka bandani mwa chui.
  9. mguu ndama

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    Kulikuwepo na semina moja inayohusiana na mada tajwa kwenye kanisa moja mwanza la Nabii mmoja aitwae GB Malisa.Semina iliendeshwa na mkewe na haikuhusu wanaume.Ebu wanawake waliohudhuria watiririke watujuze kwanini wanawake ndio huwa na mapepo sana sana.
  10. mguu ndama

    Makubwa: Anna Mghwira adai yeye bado ni mwenyekiti wa ACT Wazalendo na hajajiuzulu

    Wanawapa mshiko siunaona kazi ya mkuu wa wilaya arumeru anavyowanunua madiwani wetu.Keshanunua wawili.
  11. mguu ndama

    Tusidanganyane hata Lowassa au Sumaye wenu wakiteuliwa hawawezi kataa!

    Kwanini siku zote hizi teuzi ulenga vyama vidhoofu namna hiyo? Nadhani havina madhara.
  12. mguu ndama

    Kamati ya uongozi ACT kukutana kesho tarehe 07/06/2017 kujadili uteuzi wa mama Anna Mghwira

    Chama kilichoundwa kuwagawa wapiga kura kirefu cha ni Agizo la Chama Tawala
  13. mguu ndama

    Arumeru: Diwani Viti Maalumu(CHADEMA), Bi. Josephine Anaeli amejiuzulu

    Mwendo wa kushikishwa fungu tu kudhoofisha upinzani arumeru
  14. mguu ndama

    Mkinga: Barrick walikodi kampuni kutoka SA kuibua makontena ya mchanga

    Kumbe shida yetu ni mitope hapanataka dhahabu kabisa sisi.Doh!
  15. mguu ndama

    Mkinga: Barrick walikodi kampuni kutoka SA kuibua makontena ya mchanga

    Uzalendo sijui unawezekana vipi ktk nchi za kiafrika.Tunakosa adhabu kali kwa makosa ya kutokuwa mzalendo.Kutolipa kodi si uzalendo,kutolinda rasilimali kwa minajili ya kuruhusu ziibwe si uzalendo na mengi ya makosa yanayohusiana na kutokuwa wazalendo kwa nchi nyingine ni makosa yanayopelekea...
Back
Top Bottom