Recent content by MGOSI132

  1. M

    Mnyarwanda aliyesoma Tanzania awa boss benki ya Africa

    Hao wawili uliowataja i am very sure walipewa scholarship na UN, na walikuwa UDSM kama wakimbizi... Sikatai kwamba kuna waliobahatika kupata scholarship za Tanzania lakini sidhani kama nikitu cha ku regret..(you shoul be proud of that) Kumbuka kuna wa Tanzania kibao tu wako ugenini au...
  2. M

    Kagame aanza vituko

    Day dreaming!!
  3. M

    Jakaya Kikwete aungwa mkono na nchi za maziwa makuu na SADC kundi la FDRL kurudi Rwanda

    That was the xpected end Pole sana Your definitions and so much explanations won`t help anything Hahah!!
  4. M

    Marais wanne wa A. Mashariki wanakutana Kigali, Rwanda

    Ulisikia vibaya, maybe ulikuwa namawazo mengi kwanza sio ndi omunyarwanda ni Ndi UmunyaRwanda... sielewi kwanini ulisikia hoja ya wa Hutu kuomba msamaha wa Tusi harafu ile ya wa Tusi kuomba msamaha wa Hutu ikakutoka au umeiacha makusudi, anyway hii ni program ya WanyaRwanda wote kuombana msamaha...
  5. M

    Nini kimemsababisha Membe kuzigeuka nchi nyingine kuhusiana na Nile Treaty?

    Source ya mto Nile iko Rwanda mkuu,Ruvuvu kutoka Tanzania na Nyabarongo kutoka Rwanda ndio huzaa mto Kagera ambao ni main source ya Nile: Nyabarongo is bigger than Ruvuvu and any thing done on Nyabarongo has great consequences on Nile: BBC NEWS | UK | England | Hampshire | Team reaches Nile's...
  6. M

    FDLR ku-surrender ni nini chanzo chake?

    Only a person like you can be proud to show such kind of a photo...hata kama ni adui real soldiers don`t treat a corps like that; Only Interahamwe likes will do that: Boots and Uniform shows me these are not TPDF
  7. M

    FDLR ku-surrender ni nini chanzo chake?

    Pitia hii link, hii ndio UN resolution iliyopeleka majeshi DRC ‘Intervention Brigade’ Authorized as Security Council Grants Mandate Renewal for United Nations Mission in Democratic Republic of Congo
Back
Top Bottom