Yani kwa kifupi habari ni habari tu, ukiona mhariri anaanza kupiga mikwara hivi ujue kuna jambo nyuma ya pazia, Na huyu Balile sijui amekuaje siku hizi.!! Na hayo matusi ni yapi sijui ..!? Usipohabarisha hayo matusi, na badae mgombea akachaguliwa kwenye nafasi anayogombea, nin itakuwa faida...
Umejitekenya sana na sijui kama ulikumbuka kuchukua/kuvaa viatu vyako hapo kwa fundi 😇😂..!! Ndugu fundi hakuzungumzia wapigakura?! Tume ikiwa huru na ikaendesha uchaguzi kwa haki?! Kitengo na vyombo vya ulinzi ndo wanaopiga kura mwaka huu?!
Yaan anachanganya mambo huyu mzee Pascal, Ni bora angesema yeye ni mwanaCCM na angependa Tundu Lissu aondolewe tu ..!!
Et sijui kuingilia uhuru wa mahakama, tume iamue kumuondoa, sasa huko si ndo kuingilia mahakama ..!! Sijui kwanin wanajikomba kupita kiasi
Na huenda na yeye anatafuta hela kwa mtindo wa kitabu kuuzwa, Hayo mapato yanenda wapi, kwanini asikitoe bure tu ..!!
Ingawa Mshana Jr amesema ana vyanzo vingine vya habari hii lakin hiki kitabu ndo chanjo kikuu..!!
Yote kwa yote tusiwaamini hawa manabii kirahisi !!
Pascal Mayalla,
Ok, Labda wewe mkongwe utakuwa unafahamu vizuri, Em niambie wangetumia njia zipi kuidai hiyo haki ?!?! Maana naona wengi wenu mnasema njia hii ni ya kuomba poo, lakini hamsemi njia ipi ingetumika ..?! Ikumbukwe mambo mengi wameshafanya, Matamko, kususia, kutoshiriki mambo...
Kama data (CPU) zilizoibiwa ofisini kwa DPP zinamuhusisha Rais kwa namna moja au nyingine, ni lazima akatishe ziara na kurudishwa Zero Ground kiusalama..!!
Somo pana kuliko upana wa akili zetu. Tukimaliza kubishana turudi nyuma kuiangalia mikataba yetu, kabla hatuja kurupushwa mahakamani kuwalipa fidia wezi wetu. NI KWELI TUNAIBIWA LAKIN NI VEMA KWENDA TARATIBU.
Nashangaa sana hata wataalam wetu wanaingiza siasa katika swala hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.