namshangaa alieuliza swali kama hili? kwani mpaka uajiriwe ndo uishi kaka? kama huna ajira nenda shambani alime pia nayo ni kazi na inaweza kukutoa maisha ndugu
daaa!!! nashangaa kuna watu kwenye mambo ya msingi wanatoa kauli za kejel, matusi! ila waswaili husema, KWENYE MSAFARA WA MAMBA HATA KENGE WAMO. sio rahisi penye mkusanyiko wa Watu wote wawe niwastarab.
TUVUMILIANE TUWEZE KUFANIKIWA KWENYE MAMBO YA MSINGI, SIO RAHIS TUFANANE MAWAZO, MTAZAMO, NA...
daaa!!! nashangaa kuna watu kwenye mambo ya msingi wanatoa kauli za kejel, matusi! ila waswaili husema, KWENYE MSAFARA WA MAMBA HATA KENGE WAMO. sio rahisi penye mkusanyiko wa tatu wote wawe niwastarab.
TUVUMILIANE TUWEZE KUFANIKIWA KWENYE MAMBO YA MSINGI, SIO RAHIS TUFANANE MAWAZO, MTAZAMO, NA...
NIREKEBISHE TU HAPO KUWA NI MLUMBWE SIO mlumbe.
ILA NIPENDE TU' KUWAFAHAMISHA WANDUGU KUWA KATIKA TAFUTAYANGU, NILIBAHATIKA KUMPATA DEREVA WAKE ENZI HIZO AMBAE KWA SASA ANAFANYAKAZ YA UDREVA JIJINI ARUSHA AKANIAMBIA KUWA, ANAMFAHAM SANA ALIKUWA BOS WAKE ILA BAADA YA KUSTAFU ALIENDA AKAPATA KAZ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.