Recent content by mghaseee

  1. M

    Bodi ya mikopo kwa continuing students

    Naombeni namba za simu za loan board maana hali ni tete
  2. M

    Meeting for the continuing students who missed the loan from HESLB

    Imetoka batch ya 5 nimesikia Niya continuous student ila ukingia inakufungulia mwisho batch 4 batch ya 5 haifunguki, Mara nasikia loan officer ndiye atakaye tutangazia yakitoka. Xaxa nimebaki njia panda huku penalty ya kuchelewa kulipa ada ikinyemelea.duuuuuu!!!!!
  3. M

    Meeting for the continuing students who missed the loan from HESLB

    Mwenye information kuhusu continues walioomba mkopo coz mpaka sasa kimya Sijui kama wametusahau au la, loan officer mpaka sasa hajapata majina.
  4. M

    Mkopo kwa continuous students

    Mimi ni mwanafinzi wa second year na wazazi wote walisha fariki ila Sijui hatima yangu kama nitapata mkopo baada ya awamu zote 3 kupita bila kupata mkopo Au ndo tumesaulika?
  5. M

    Shukrani kwa HESLB

    Web page ya olas haifunguki kulikoni?
  6. M

    Hakuna sheria inayomzuia Lowassa kugombea urais, ukweli huu hapa

    Kama sisi wananchi tutamchagua raisi toka chama cha upinzani et ccm igome kutoka madarakani!!!!!!!! Itakula kwao kwani nchi hii siyo Mali ya CCM niya watanzania wote wa vyama vyote, ikiwa watan'gan'gania madaraka na wakati wananchi hatuwataki amani itatoweka na ccm itakuwa adui wa watanzania...
  7. M

    Kutoka: Kama huna sh 200 piga mbizi, hadi Matatizo yenu nayajua

    Kila uchaguzi wanadai wanajua matatizo ya wananchi eti wamejenga barabarani kwa lami,maendeleo yapo n.k? Hii ni danganya toto barabara anazodai ccm imejenga kwanza wajue fedha hizo hazijatoka mifukoni mwao ni kodi zetu sisi wananchi xo waache kujigamba, maendeleo yapi tunayo ni uzushi umaskini...
  8. M

    Msafara wa Magufuli Arusha

    Kazi gani muhimu kiasi cha msafara mkubwa kama huo? Mbona kwenye ziara za ukaguzi wa barabra hakuwa na msafara mrefu ila kipindi hiki! Hakuna marefu yasiyo na ncha.
  9. M

    Lowassa kuchukua fomu kugombea Urais kupitia CHADEMA - Alhamisi 30, 2015

    Usikurupuke kwani vazi la chama ni utambulisho wa chama Mbona vyama vingine vimevaa sare zao na wametumia garama zaidi ya hilo vazi la mtu mmoja
Back
Top Bottom