Ni vitu ambavyo vinatia hasira kwa kiasi kikubwa sana....
Cjaona umaana wa Tija ya BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU kuwa na ghorofa kubwa lamabilioni ya shilingi wakati kuna baadhi ya wanafunzi tunakufa njaa tukiwa machuoni...
Haina. Haja kuwa na jengo kubwa kama lile wakati kunabaadhi ya wanafunzi wanajiuza usiku kwa kisa tu chakukosa mkopo...
Hasa hasa kwa sisi wa continuous ambao tuna gangaika mavyuoni tukihaha kwa kukosa thamani yakupata japo kiasi kidogo tukaendelea na masomo
Nimambo ambayo yanauzi na yanakera sana na yanaumiza sana...
Nawaasa wanafunzi wenzangu ambao mnaendelea na hatujui hatma yetu tukutane tufanye maandamano ya Amani kuishinikiza bodi kutupa haki yetu kwa maana navyojua mkopo ni national cakr ambayo kila mwanafunzi mwenye mazingira magumu anatakiwa kuwa nao
Please Wanafunzi wenzangu wa vyuo vyote Tanzania wenye maisha magumu kama mimi Ambaye BABA SINA NA MAMA SINA NA WENYE VIGEZO TUGANYE MAANDAMANO YA TANZANIA NZIMA
Mungu wabriki wanafunzi wote waishio kwenye Mazingira. Magumu na wenye ndoto za kuacha chuo kwaajili ya kukosa ada kama miye....
Cjaona umaana wa Tija ya BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU kuwa na ghorofa kubwa lamabilioni ya shilingi wakati kuna baadhi ya wanafunzi tunakufa njaa tukiwa machuoni...
Haina. Haja kuwa na jengo kubwa kama lile wakati kunabaadhi ya wanafunzi wanajiuza usiku kwa kisa tu chakukosa mkopo...
Hasa hasa kwa sisi wa continuous ambao tuna gangaika mavyuoni tukihaha kwa kukosa thamani yakupata japo kiasi kidogo tukaendelea na masomo
Nimambo ambayo yanauzi na yanakera sana na yanaumiza sana...
Nawaasa wanafunzi wenzangu ambao mnaendelea na hatujui hatma yetu tukutane tufanye maandamano ya Amani kuishinikiza bodi kutupa haki yetu kwa maana navyojua mkopo ni national cakr ambayo kila mwanafunzi mwenye mazingira magumu anatakiwa kuwa nao
Please Wanafunzi wenzangu wa vyuo vyote Tanzania wenye maisha magumu kama mimi Ambaye BABA SINA NA MAMA SINA NA WENYE VIGEZO TUGANYE MAANDAMANO YA TANZANIA NZIMA
Mungu wabriki wanafunzi wote waishio kwenye Mazingira. Magumu na wenye ndoto za kuacha chuo kwaajili ya kukosa ada kama miye....