Recent content by mgeni10

  1. mgeni10

    I only wanted simple life but always bad luck in my side

    Usifikiri kujiua, Mungu anaijua siku ya kukupa faraja yake, Mtegemee Mungu hata kuliko marafiki, Yeye ndie Jibu la Hitaji Lako. Pole Sana
  2. mgeni10

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Neema ya Mungu itatosha kukufungua kutoka NIRA ya ulevi. Kimbilia kwa Mungu Tuuuuuuuu
  3. mgeni10

    Nyumba Ndogo Mlaaniwe!!

    Pole, But it was your Choice, and you attended them Willingly
  4. mgeni10

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    If at all it will help
  5. mgeni10

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    Mwalimu alifanya yake kwa wakati wake, Leo Hii Tuzungumzie hali ya sasa na uchumi wa sasa na kila hitaji la sasa na mafanikio au mapungufu yaliopo
  6. mgeni10

    Moro mpoooooo!

    :D:D:D:D:D Super Sub Steve, Hongera kwa updates, Japo Hujawakaribisha wageni hapo
  7. mgeni10

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Nguvu ya kutoka Ndani ya Mtu in nguvu kuliko ya nje Mshirikishe Mungu utakua Huru ndugu
  8. mgeni10

    Jini Mahaba

    Mpeleke akaombewe huyo kama bado hajafunguka hicho kifungo cha JINI MAHABA
  9. mgeni10

    Push...push jitahidi ni sauti za madaktari wakijaribu kumpa moyo mama mmoja

    Happy birth day Eddy Love, May The Living God bless you Richly on your special day
  10. mgeni10

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    Kutoka kung'atuka kwake mpaka leo ni Miongo mingi imepita, Hatuwezi kumlaumu Yeye, maana kwa wakati wake alichokifanya na kukijenga kilitenda kazi yake, Tujilaumu wenyewe tunaoshindwa kujenga misingi sasa, na kwa wakati huu tulio nao kwa faida yetu na kizazi kijacho
  11. mgeni10

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Ukiitii dhamira yako ya kuacha utaacha tu, Ukiwa na mawazo ya mpaka upate mbadala umekosea Pamoja na kujiwekea UADUI na Mungu kwa kunywa pombe , pia unaua uchumi wako na afya yako
  12. mgeni10

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Kuliondoa Tatizo hili waone madaktari wa kinywa na meno, ili wakague kama una jino lililooza ,na kulifanyia tiba Sio wote wanaotoa harufu mdomoni ni kwa sababu ya kutokua na usafi sahihi wa kinywa
  13. mgeni10

    Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

    ni vigumu sana kuvumila mtoto akipatwa na shida yoyote Mungu tu atupe neema yake , maana likitokea kuchanganyikiwa ni kawaida Ukimuona mtoto akiwa kwenye hali ya ugonjwa huu unajua kwamba huo ndio mwisho wake, Mungu tu kwake hakuna lisilowezekana, Tumtumainie Yeye kwenye shida hizi
  14. mgeni10

    Hivi unaanzaje kumwambia mwenzako katika mahusiano au ndoa kwamba umeathirika?

    kwa faida ya watoto ni vyema ukatafuta jinsi ya kumjulisha mwenzi wako ili asipate hao wadudu, mfikishe tu kwa washauri nasaha watategua hicho kitendawili
  15. mgeni10

    Hivi kumwambia mtu sitaki na kumwonea aibu lakini unaumia moyoni upi ni ujasiri?

    Kumwelewesha makosa yake ni jamabo jema, ila kulipiza kisasi siuungwana
Back
Top Bottom