Recent content by Mgeni wa Mungu

  1. Mgeni wa Mungu

    Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

    Wanakariri mambo ya shuleni
  2. Mgeni wa Mungu

    Sakata la TZS 1.5 Trilioni: Serikali yakiri haikupeleka Zanzibar TZS 204 Bilioni

    Zitto taarifa hizi zimenifurahisha lakini zingenifurahisha zaidi ningezipata kwa wabunge wetu wa Zanzibar. Sisi wengine sio wanasiasa pengine wamefahamishwa mambo yao yote waweke siri wakayatoe kwenye makao makuu yao. Nakupongeza sana unaposimamia haki bila ya ubaguzi. Hukuegemea kwenye siasa...
  3. Mgeni wa Mungu

    Sabasaba ya 2018 ,Je si ndo kipimo sahihi ya Tanzania ya viwanda ?

    Mara hii hakuna haja ya kuwapa fursa wawekezaji wa nje kuja kuonesha bidhaa zao. Kwakua viwanda vya ndani ni vingi mpaka vinaweza kukosa nafasi. Nategemea mabanda yataongezeka kwa wiwanda 3000.
  4. Mgeni wa Mungu

    Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

    Zanzibar ndio sehemu iliyokua Mji mkuu kipindi hicho hayo miji mingine ilikua kuna watawala wadogo
  5. Mgeni wa Mungu

    Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

    Mkuu una hoja nzito za kuwatoa tongo Watanganyika wanaojiita maprofesa.
  6. Mgeni wa Mungu

    Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

    Wazungu wanaotoa muhanga watu kwa kutengeneza vita vya siri na dhahiri kwenye nchi za watu.
  7. Mgeni wa Mungu

    Muungano ukivunjika

    Haitotokea hata siku moja
  8. Mgeni wa Mungu

    Mama huyu apigwa na kudhalilishwa kwa kuchaniwa nguo zote

    Mkuu anaechangia uzi huu bila ya kujua chanzo nawaona wajinga sana. Zanzibar hajawahi kupigwa mwanamke kwa kuvaa nguo fupi haijawahi kutokea. Huo ni udhalilishaji
  9. Mgeni wa Mungu

    Pesa ya Tanzania inatengenezwa na kampuni gani?

    Kampuni zinazohusika na kutengeneza pesa
  10. Mgeni wa Mungu

    Nani amewahi kufungua jicho la tatu, ni faida gani umeipata?

    Haya mambo ya jicho la 3 mtu akifanya kama kakosea hayana feedback kwakua atakua tayari anaokota makopo.
  11. Mgeni wa Mungu

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Bw. Athumani Selemani Mbuttuka kuwa Msajili wa Hazina

    Mods tuwekeeni JUKWAA LA UTEUZI hawa wamekuwa wengi tuweke kumbukumbu.
  12. Mgeni wa Mungu

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    Sio lazima upandishe majini, wanaume wengi wenye majini unaweza kuwajua kwa tabia zao. Hata mtu mwenyewe anaweza asijue kama ana jini/majini mpaka anakufa.
Back
Top Bottom