Sijaona hata chembe za kuwafatilia mamb yasio kuhusu sasa hapo tangu karne ya 18 mpk sasa karne ya 21 do you think is true just refer kwenye katiba yako
Kitwwnga we ni mwanaume bwana pamban baba nakukubali sema bado pombe tu ndo inakuchanganya ila kwa mengne uko poa sana na umeanya jambo la.msing sana kuzungumza la moyon mwako kuhus hizo tuhuma[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Maisha yetu kama move........ Acha maneno weka mziki...... Nahisi ndo uhalisia wa mamb yasaiv yanavyoenda nyota ndog walisema kuna watu na viatu so chukulia simple tu tuendelee na maisha jmn hayo ndo mamuzi yetu....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120]...
Kama n utalamu na umahili alishajichukulia bora yaishe tu sio kila siku kitu kilekile na hakuna mamuzi yatakayochukuliwa na mkuu alishasema watasema sana sasa kuna haja gan ya kuendelea kumfata mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.