Recent content by Mgaya.com

  1. M

    Dereva anaharibu mahusiano yangu

    Anatuzingua kumbe!, tupa kule !!
  2. M

    Dereva anaharibu mahusiano yangu

    Jamani pole pole commnt zenu ni mnyalu huyo jamaa akijiuwa mi cmo !! aha ha ha ha!
  3. M

    Mwanasheria wa Times Ziro, Yani Buyu kabisa!

    Labda ulikuwa hujaelewa vizuri mtoa uzi, sikia nilivyoelewa mm! Times fm waliingia mkataba na Davido wa kufanya show tar 1/11/2014 hivyo wao times walitegemea kwamba Tz asingeweza kufanya show yeyote kabla ya tar hiyo ya makubaliano cha kushangaza akatangazwa kuwa atakuwepo Fiesta...
  4. M

    Member gani wa JF ushakutana nae Face 2 Face

    Me cmjui hata mmoja ngoja nianze namn
  5. M

    Madhara ya kuoa mke mwenye umbo zuri na sura nzuri

    Usimsahihishe mtu ilhali wewe mwenyewe hujui! Let love leads kiswahili chake ni "acha mapenzi yaongoze" na lets love ladies ni "acha wanawake wapendwe" hivyo usilazimishe utakavyo!!
  6. M

    Madhara ya kuoa mke mwenye umbo zuri na sura nzuri

    Mawazo yako ni ya kizamani sana!! Mbona siku hiz wanawake kuwapata ni simple sana mkuu!!?
  7. M

    Mashamba yanauzwa Chanika

    Nitakupigia nahitaji shamba
  8. M

    Mashamba yanauzwa Chanika

    Wewe ni mshamba!! Umekariri maisha na wajinga ndio waliwao! Mimi nimenunua shamba ekari moja kwa sh 400000/- na ni halali
  9. M

    Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

    Mwanamke anaringa mpaka anajisahau anakuringia nawewe boyfriend wake!! Si kila mwanamke anaweza kuwa mke!! Tena wala sio makalio makubwa tena wewe mwenye makalio makubwa ni msumbufu ni balaa et kisa wanaume wengi wanakushobokea!!
Back
Top Bottom