Labda ulikuwa hujaelewa vizuri mtoa uzi, sikia nilivyoelewa mm!
Times fm waliingia mkataba na Davido wa kufanya show tar 1/11/2014 hivyo wao times walitegemea kwamba Tz asingeweza kufanya show yeyote kabla ya tar hiyo ya makubaliano cha kushangaza akatangazwa kuwa atakuwepo Fiesta...
Usimsahihishe mtu ilhali wewe mwenyewe hujui! Let love leads kiswahili chake ni "acha mapenzi yaongoze" na lets love ladies ni "acha wanawake wapendwe" hivyo usilazimishe utakavyo!!
Mwanamke anaringa mpaka anajisahau anakuringia nawewe boyfriend wake!! Si kila mwanamke anaweza kuwa mke!! Tena wala sio makalio makubwa tena wewe mwenye makalio makubwa ni msumbufu ni balaa et kisa wanaume wengi wanakushobokea!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.