Ok mimi hapa nina nyumba yangu Chanika masantura ila nimewapangisha watu ila naishi mjini.. Pia mimi ni mwenyej wa Chanika kidogo embu nielekeze vzur mashamba hayo yapo maeneo gan haswa?
Mkuu hiyo namba mbona tunapiga haiiti?
Hebu weka nyingine
Hakuna shamba ekari moja kwa milioni moja DSM. Hilo litakuwa shamba limevamiwa na matapeli na wanauza kuwapiga wanunuzi.
mkuu usipinge yapo hayo mashamba hata kule wami pia wanauza hivyohivyo
Namie pia nimejenga Chanika karibu ya Lami ya mwisho.
Bei hizo ni halali kabisa,na ardhi ya chanika ni nzuri sana.
Tena hiyo bei ni rahisi kwa kule,maana kuna mradi wa Barabara ya Lami kuanzia pale mwisho kwenda mbele huko kuunganisha na upande wa lami ya pili.Kwahiyo watu watakuwa wanaweka njia tu za kuingia kwenye mashamba yao.
Sasa mkuu wewe una jumla ya Hekari ngapi?
Kwa ufupi hapo mwenye milioni 7 anakuhamisha mzimamzima kwa zote au sio
iko sehemu gan?? Chanika mwisho au?Mashamba hayo yapo maeneo ya Bwama.
iko sehemu gan?? Chanika mwisho au?
Nitakupigia nahitaji shamba