Recent content by Mgaigai

  1. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Odds 3,stake high
  2. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Wakuu naomba kuuliza pes21 la pc na ps4 yanafanana ?maana naona kuna mengine yanatofautiana mfano pes17, la pc lipo kama ps3 hivi
  3. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Chief@dronedrake hapa Napo vipi ,step alizotumia mpaka kujaza hio venn
  4. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Najaribu kufanya kwa Ile set mbili ya married na happy, halafu upande wa juu naweka men na wa chini naweka women.Au hii italeta majibu yasiyo sahihi?
  5. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Chief set nne kwa advance inatumika?Si unajua walimu wa bongo
  6. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Ahaa!!!! Hapo naweza malizia.Shukrani[emoji120][emoji120][emoji120]
  7. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Hii ni kutokana na swali hilo tu?Maana inajulikana n(AUBUC)=n(A)+n(B)+n(C)-[n(AnB)+n(AnC)+n(BnC)]+n(AnBnC)
  8. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Chief,samahani Unaweza kuweka mtiririko mzima mpaka unafikia kwenye jibu?
  9. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Nimelijaribu Sana naona Kuna kitu nimeshindwa kukitafsiri .Nasubiri hio solution
  10. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Ai majibu ya mchongo,Nimeuliza swali ninalolijua wameenda Op kabisaa
  11. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Na hapa pia
  12. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Na hilo hapo juu
  13. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    recent pool of 500 men and 500 women,it was observed that a total of 650 were married.of those married,275 were men and 500 claimed to be happy. Out of 750 claimed to be happy. 400 were men of which 200 were married. Represent this information in a venn diagram and find (a)the number of married...
  14. Mgaigai

    JamiiForums Tanzania Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Msaada watabe,Mayombya namna alivyojaza hizo data.Halafu akisema those who are taking Chemistry are also taking Mathematics and physics anamaanisha Nini katika venn diagram?
Back
Top Bottom