Suzuki carry Namba C inauzwa, iko barabarani. Picha hizo hapo nicheki mmiliki tumalize.
Kama ni dalali fanya unavyoweza inifikie 3 kamili 0744733449.
Niko Njombe.
Kama unakopa hela Bank ya CRDB hasa mikopo ya watumishi wa umma kuna fedha wanaiita ada ya mkopo inakatwa mkopo wako ukiingia hii imekaaje? Hakuna upigani hapo, Reply plse kukipambazuka naingia mjengoni.
Tiger au Chui milia ndio anaowawinda Nile clocodille wale mamba hatari zaidi, Na anamtoa kwenye maji tayari kuwa kitoweo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waungwana Mimi sio mdau Sana wa JamiiForums lakini mara kadhaa nimepata msaada hapa.
Leo walengwa ni wale wenye uelewa wa sheria kwa uzoefu au kukaa darasani. Niliwahi kuomba ushauri humu kuhusu kusalitiwa na mama watoto, sasa hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa kifupi, ni kwamba tulikubaliana kuishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.