Wewe ni kijana unaye ishi kwa shemeji yako! Then unataka kutuambia mambo ambayo shemeji yako anayo mwambia dada yako wakiwa chumbani. Tafuta vijana wa size zenu muambiane ujinga huu!
Haya ni matatizo tuliyo jitakia wenyewe ya kumlea nyoka akiwa mdogo kwa kumlisha unga sasa amekuwa anataka kula watoto! Zito ni nyoka anaye taka kumla mwenye nyumba sasa kwani amesha maliza watoto! Lazima aondoke huyu nyoka asiye na fadhila.
Unaongea upumbavu! Chadema imetokea wapi na mauaji haya! Yeye marehemu ni nn kimemsababishia kifo? Yeye hajachukua hakumu ya kuuwa mkononi? Kwanza hujui nn unakiongea kuhusu mada uliyo iweka hapo! Na wasiwasi na uwezo wako wa kielimu katika sheria ama elimu yako ya msingi.
Majibu.
1.Alikwisha iona hukumu ambayo inge kuja kumpa ushindi.
2.Jeuri ameipata toka kwa PM" piga tu kama hawa tii sheria tumechoka"
3. Nikweli kabisa ukaribu wake na Hakimu alioutengeneza kutokana na Madaraka yake ndiyo kikwazo pia na ile kauli ya asiye nacho hana haki!
4.Angewezaje kusimamia...
Nimefarijika na maneno yako ya busara ndg yangu! Hakika tunahitaji kumsamehe na Chama kisonge mbele. Hatuhitaji marumbano tena tunacho hitaji ni kulikomba Taifa letu kutoka mikononi mwa wahaini Ccm!
Nimefurahishwa na wito wa mtoa mada kwa Zzk! Sina Imani na ushahidi unao jenga hii mada! Naziona mbinu za kujisafisha za ZZK zisizo kuwa na mashiko! Naona mbinu ya mtoa maada kujaribu kujenga uhusiano na Zzk kwa kipindi hiki Kigumu kwa Zzk! Nayaona matamanio ya Madaraka ndani ya hii mada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.