Recent content by mfumbi

  1. M

    Mchina ajinyonga, ni baada ya kuboronga katika kazi Morogoro

    pale kariakoo palifanyika ukarabatii wa mitaro ya maji taka ya chini ya ardhi, katika ukarabati ule yalitumika mabilioni ya shilingi nandio ukarabati mmbovu kuliko yote iliyowahi kutokea, hapa nchini lakini hadi leo wasimamizi wa huo mradi wanaendelea kula vijisenti vyao.
  2. M

    Ni mabomu au ni kitu gani inayosikika Dar?

    ni fataki mmnazi mmoja mkesha wa muungano
  3. M

    Ona Watanzania wanavyojiachia huku UK!

    hawa hawanakazi huko
  4. M

    Kipindi maalum tbc television-mh.rais jakaya kikwete.

    mbona huvisemi vitu vingi vya maana alivvyosema, unarukia sehem ndogo ya ukoko na matangu msikilize vzr!
  5. M

    John Komba atishia kuingia msituni endapo wananchi wataamua Serikali tatu

    pale mitaa ya sinza na votongoji vyake wanamjua huyu mtoa kauli kali, yakuwa licha ya kuwa na kilibatumbo lakini akiwa dar uingia nyumba za wageni tofautitofauti akiwa na mabinti zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, nainasemekana ndio hao wengine waliokamatwa huko china na kwingineko siku tatu baada...
  6. M

    Kauli ya Waziri Lukuvi: Jumuiya ya Waislaam yatoa tamko kali

    pale isimani kulikuwa ndio kitovu cha mahindi yakutoka mkoni iringa, enzi hizo mashamba yote makubwa yalikuwa ya wazee wakislaam toka mjini iringa, nauzalishaji ule ulikuwa unalisha sehemu kubwa ya nchi hii, lakini kwakuwa sehemu kubwa ya mashamba yalimilikiwa na waislam kulikuwa navisa vingi...
  7. M

    Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

    safi sijui wanaoibeza tecno wanavigezo vipi?
  8. M

    Binti miaka 16 atoa siri za freemason

    Waongoo wakiendekezwa siku moja watakuja kutufanya kama kibwetere alivyo waghiribu watu kule ug
  9. M

    Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

    mimi natumia hiyo badilisha memory card imepata virus tatizo limekwisha mkuu
  10. M

    Dawasco tatizo nini?

    Au siasa zimeamia kwenye maji? sisi sio ukawa
  11. M

    Dawasco tatizo nini?

    sisi tukichelewa kulipa bill tu wanakuja kukataa mara moja, ndio mkataba kwa wateja unvyosema? sisi tusipopata maji tuchukue hatua gani? dhidi yao
  12. M

    Dawasco tatizo nini?

    Sinza A leo ni siku ya sita hakuna maji ya bomba, na hakuna taharifa yoyote juu ya ukosekanaji wa maji hayo: kutoka mamlaka husika hata serikali ya mitaa hawatoi taharifa ya tatizo hizo; hivyo basi mlipuko wa magonjwa ukitokea sinza watu wasishangae habari ndio hiyo
Back
Top Bottom