Recent content by Mfukutuzi

  1. Mfukutuzi

    Mashine za Uwakala NMB & CRDB zinahitajika Dodoma

    Asante kwa mtazamo Vipi mchakato wa kuunganishwa hata hizo applications, umerahisishwa au ni mgumu kama huu huu wa kutafuta mashine?
  2. Mfukutuzi

    Mashine za Uwakala NMB & CRDB zinahitajika Dodoma

    Habari wadau, ninahitaji mashine hizo za Wakala (CRDB na NMB) kwa aliyenazo zote au mojawapo na amesimama kutumia tafadhali tuongee biashara. Location: Dodoma
  3. Mfukutuzi

    Maji Dodoma sasa kizungumkuti, DUWASA mmefeli wapi??

    Miezi kadhaa sasa "maeneo mengi" ya Dodoma Maji yamekuwa shida kubwa. Hayatabiriki. Yanatoka siku 3 yanapotea wiki 3. DUWASA mmepatwa na nini? Kwa nini hamtoi tahadhari wala maelezo yoyote kwa wateja wenu. Au population imezidi uwezo wenu wa kutoa huduma?? Ni maswali ambayo wateja wanauliza na...
  4. Mfukutuzi

    Tundu Lissu: Rais Magufuli ana shida gani na misiba mikubwa?

    Anaandika Tundu Lissu: Naomba na hili la maafa nilizungumzie kidogo kabla halijazikwa na maajabu mengine ya nchi yetu. Nadhani Mheshimiwa Rais wetu ana tatizo kubwa na misiba ya kitaifa ambalo wanaofahamu zaidi wanabidi watueleze. 1. Walipokufa wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent Arusha...
  5. Mfukutuzi

    Nimeweka salio sh 1, 000 kwenye simu ajabu nimeamka imebaki 852

    Baada ya kuwang'ang'ania sana na wakakosa cha kunidanganya kuhusu matumizi ya simu ya kawaida sasa wananiambia eti nilijiunga na huduma ya "tigo hadithi URITHI WA MTOTO", sijui ndo madude gani Inaonyesha kuna watu wengi sana wameunganishwa 'default settings' huko bila kujua, so ukiweka salio tu...
  6. Mfukutuzi

    Nimeweka salio sh 1, 000 kwenye simu ajabu nimeamka imebaki 852

    Juzi nimeweka salio sh.1000 kwenye simu ajabu nimeamka imebaki 852, which means kuna hela ilikatwa Jana tena nikasema ngoja nijaribu, yawezekana kuna kitu nilifanya, nimeamka imepungua tena, na wala sijapiga wala kutuma msg wala kuwasha data, na kiwango kinachokatwa ni kama kinafanana Na muda...
  7. Mfukutuzi

    Mtu asiyejulikana agawa fedha jijini Dar

    Huyo ni Bashite na babake tu
  8. Mfukutuzi

    Ansbert Ngurumo: Kikao cha siri ofisini kwa DCI kiliamua Mbowe na Wenzake wapelekwe mahakamani Jumanne wanyimwe dhamana

    Hakuna siri tena. Leo tarehe 30:03:2018, saa tisa kamili (9:00) alasiri, saa ambayo Bwana Yesu Kristo alikata roho msalabani, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika muda ule ule, Paul Makonda (A.D. Bashite), alikuwa anafungua kikao maalumu cha kupanga mambo maovu dhidi ya viongozi waandamizi wa...
  9. Mfukutuzi

    POP CASH ZAIDI YA ADSENCE

    Tatizo ni hizo njia za malipo
  10. Mfukutuzi

    MSAADA: Blog yangu inagoma kuunganishwa kwenye Google Adsense

    Mrejesho: Blog sasa imekubali ku-display google ads baada ya ushauri wenu wadau cc Sijuti, Healer2
  11. Mfukutuzi

    MSAADA: Blog yangu inagoma kuunganishwa kwenye Google Adsense

    Asanteni nyote. Kesho mapema sana naufanyia kazi ushauri wenu
  12. Mfukutuzi

    MSAADA: Blog yangu inagoma kuunganishwa kwenye Google Adsense

    Nashukuru sana mkuu. Nitaleta mrejesho
Back
Top Bottom